Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow...
Kuna uwezekano mkubwa watu wengine humu mnachangia hii maada hata shule za kata tunazozungumzia hamzijui.Shule za sekondari za kata zinaupungufu mkubwa wa walimu hasa sayansi.Haya hii hoja mfu ya mtoto akakae na wazazi wake ni sawa kwa boarding school lkn kwenye shule za kata mtoto ana kaa na...
Mazingira ya wanafunzi katika shule za sekondari za kata mhe waziri na kamishina wa elimu wanayajua? Je watoto wao wamewahi kusomea hizi shule?.Kuna shule hazina walimu totally wa masomo ya sayansi wanapokuwa form one.Mkuu wa shule anatafuta mwl wa kujitolea walao wanapokuwa madarasa ya...
Mhe Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan pokea pongezi nyingi kwa kuijali elimu ya nchi yetu.
Hii ni kutokana na serikali yako kuanza kuwajali walimu na miundo mbinu ya madarasa, meza na viti Ninajua wapo watakaokubeza na kukukejeli lakini wewe jipe moyo na songa...
Ombi kwenu viongozi wa Jamii forum huu Uzi uwekeni uonekane siuoni ili wahusika wauone wapate ujumbe.Maana hofu yangu kubwa watu wakishajifungia Kwenye vyumba vyenye viyoyozi wanasahau kuwa Kuna watu wanashida Nje.
Mkuu test man, we acha tu baba wa watu alikuwa anaongea na maumivu kweli nikawza sana hivi wangekuwa wao ingekuwaje.Yaani unafanya vitu bila kujali Kuna watu Wana athirika na maamuzi yako.
Leo nikiwa zangu Maeneo ya Mtaa wa Isevya mjini Tabora nimekutana na mlinzi mmoja wa shule ya sekondari ya serikali akaniambia ya kwake ya moyoni kuwa ana miezi miwili sasa hajalipwa yaani wa Saba na wa nane.
Akasema mhasibu wa shule Kila akimpigia anajibiwa mfumo haujafunguliwa wa kuwawezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.