Recent content by anyelwisye ndekile

  1. A

    Mbowe anakera anavyolazimisha urafiki na CCM. Chama kinahitaji majasiri kama Heche, Lijualikali, Kiwanga..

    Acha uvivu wa kufikiria wewe ko naamini unauhakika kuwa lissu kapigwa na ccm na pia wew ndio ulishilikiana nao na mchezo unaufaham inatakiwa ukatie ushahid kwa hilo sehem husika. Mh. Mbowe anafaa kuigwa na kila mtanzania kwa kuwa mpole na mvumilivu wakati mgumu kama huu. Na hajataka kuihusisha...
  2. A

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    Ila nimeamini kuwa hapa Tanzania kuna wasaliti wengi yaani unakubali nchi yako iteketee hivihivi eti kisa magufuli hayo maden inayo daiwa Tz hayajakopwa na Mh. Mgufuli mengine yalikuwepo toka awam ya 2 ndg zanguni wana siasa feki. Fikiri ya baadaye sio ya muda huo. Je, resources of income in our...
  3. A

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Wacha mtukufu rais afanye kazi yake na mungu amtia nguvu Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  4. A

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Alisubir mheshimiwa rais alianzishe ndipo aanze kuleta sheria zake hapo kwa vile kaona rais anaelekea kufikia ahadi zake? Ujinga kwenye uharisia hatutaki asee Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  5. A

    Jeshi la polisi wamlilia Ernest Mangu

    Utadumu waambie wananafuki hao
  6. A

    Mbunge ashauri bidhaa kutoka nje zipigwe marufuku ili kukuza soko la bidhaa za ndani

    Anataka turudi kwenye utamadun wetu wa zaman wa kuvaa magome ya miti?
  7. A

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    Ko kama ndo majina yao halis una taka yasitajwe kisa yanalenga dini fulan? Anaweza akawa na jina la kiislam lakn asiwe muislam ko huwezi kubadilisha jina la mtu kisa kafanya tukio fulan
  8. A

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    Kwan ni Mara ya kwanza kuwataja na wakafanikiwa kuwakamata? Au wew ndo Mara ya kwanza kusikia hivyo
  9. A

    Rais Magufuli mpandishe cheo askari wetu kwa Ushujaa wake

    Kwani pale alikuwa anapambana?
  10. A

    Zitto ataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya askari polisi aliyemtishia bunduki Malima

    Zitto ni ndumila kuwili hana msimamo na anamhemko anaongea bila kufikiria
  11. A

    Mkono wa sweta (govi) ninalo ila hakuna anaejua kama ninalo

    Hiyo nzuri kuwa nalo sio ugonjwa we wala usihangaike saivi ila cha msingi ni kuzingatia usafi tu wa ile kitu
  12. A

    Swali la Lazima: Kwanini Mmiliki na Mkuu wa Shule ya Watoto Waliokufa Bado Wako Huru?

    Sasa kama hutaki watu wakuelewe unatuma ya nn humu?
Back
Top Bottom