Jaman cdm nawaomba watulie mambo hayataki haraka wala mimi sioni kama kuna tatizo kama msigwa kamati kuu ikiona anafaa kuwa naibu katibu mkuu,hata natse kuwa makamu mwenyekiti nisawa kama kusema waache waseme cdm wasifanye kazi kwa rimote kontro,kwamba wanalo sema ccm wanaogopa kulitekeleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.