Tanesco siwaelewi mtu unawadai mwaka mzima wakuunganishie umeme ila hawana aibu eti shida waya sasa hiyo ela mliolipwa mlifanyia nini???? Mh Rais sijui kama hii kero ya wateja wa tanesco unaifanyia kazi au kazi ya Tanesco sio kuunganishia waliolipia hela miaka hii bali ni kurekebisha main laini...
Ila mh Magu fika na Bukoba uone TANESCO inavyofanya kazi maana kila siku unaambiwa kuwa ofisini hakuna vifaa vya kuunganishiwa umeme kweli miezi saba hadi mwaka na kuendelea
Jina la Chuo tu but lack of competence UDSM Is nothing you find the graduate doesn't know even to express himself /herself competence is what is needed so UDSM watch out
Tanesco Kagera wilaya ya Misenyi haina vifaa ni mbwembwe tu yaaani mtu anamlipa ili akaungnishiwe umeme ila kwa wilaya ya Misenyi utachukua miezi 6,7 8mwaka dah! Yaaani haifai km Tanesco wilaya ya Misenyi hamuitambui bora mkaifunge maana ni kero kuliko maelezo
Tanesco Kagera wilaya ya Misenyi ni kero kuliko maelezo wakati Watanzania tunajitaidi kutumia nishati ya umeme ili tuweze kutunza mazingira lakini Tanesco wilaya ya Misenyi hawalioni hilo maana watu wanalipa hela zao ili waweze jengewa nguzo na kuunganishiwa umeme ila lakushangaza ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.