Recent content by Anthony Kabeho

  1. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia Kafanya Makubwa na anaelezea kwa uzuri sana Mipango yake Mikubwa na mizuri kwa Tanzania yetu

    Msimu wa kampeni ndio huu umezinduliwa,Jukwaa kwa Mh.Rais Samia Suluhu analimudu vyema kwani kashafanga makubwa na wananchi tumejionea. Kila anachosema kinaendana na tunachokiona katika Mikoa,Wilaya,Kata na Vijiji vyetu yaani kila pahala kaweka alama kwa kujenga na kuboresha miundo mbinu ya...
  2. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Data sciene

    Hii course ya Data Science ndio ikoje inamaokoto na je ajira zake zinapatilana wapi?
  3. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Je, nikiomba ruhusa nakwenda kugombea Ubunge/udiwani nawza kurudi kwenye kazi ya serikali tena baada ya miaka mitano?

    So sisi wenye ndoto za kupersue siasa ndio zife hivi hivi daah
  4. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Je, nikiomba ruhusa nakwenda kugombea Ubunge/udiwani nawza kurudi kwenye kazi ya serikali tena baada ya miaka mitano?

    Habari wanajamvi. Naomba kufahamishwa hivi kuomba ruhusa ya kazi ya serikali nikaenda kugombea Ubunge/udiwani nilipita baada ya kumaliza miaka yangu mitano naweza kurudi kwenye kazi yangu ya serikali tena?
  5. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Kwamba posho inatofautiana Kati ya halimashauri moja na nyingine?sio kwamba ni flat 350000?
  6. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Aha sawaa Basi 25M Ni kamzigo after 5 years
  7. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Nimekusikia but vipi madiwani wetu wanalipwa inavyostahili? Wanapewa posho na mafao yanayostahili? Jibu hapana ndio maana wanashiriki kwenye wizi
  8. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Kama ni 25M Basi ni kakibunda kazuri japo itabidi nikiingia niendeshe harakati nimuunge mkono John heche kulipazia sauti hili tuongezewe mafo na mshahara Magufuli alizingua alipokataa kupandisha mashahara kutoka 350000 Hadi laki 8 au milioni kwa mwezi
  9. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Daktari little more chief naomba unipe ndoo zaidi hasa kuhusu posho na mafao ya kistaafu nataka kuitosa ajira serikalini hivi naweza kuja kurudi?
  10. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Ndugu Kama kutakuwa na rejea ya Hilo andiko nitafurahi
  11. Anthony Kabeho

    JamiiForums Tanzania Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Nilisikia 15M ndo mafao Ila sijaamini bado
Back
Top Bottom