Recent content by AntCCM

  1. AntCCM

    Dr Slaa ang'ara katika salam za Mwaka 2014,

    Mawazo mgando na gamba lako. Dr hana safari nyingi kama alivyo ndugu yenu mliyemchagua.
  2. AntCCM

    Yaliyonikuta leo stanbic bank kariakoo sokoni

    Pole sana mkuu. Ndio hivyo hivyo spirit za kifisadi huanza.Kuna complaint nyingi sana fro stanbic client though hatujui kama zote ni za kweli. We still believe in few commited bankers.
  3. AntCCM

    Baraza jipya la Mawaziri kutangazwa hivi punde

    wadau mbona hatupati habari ambazo ni clear? Any update so far kuhusu hilo baraza jipya?
  4. AntCCM

    Live on TBC: Hotuba ya Rais Kikwete kwa Taifa kufunga mwaka 2012

    Nchi ishamshinda jamaa. Mi ninavyoona mwakani tuwe na uchaguzi mdogo wa Rais. Seriouz.
  5. AntCCM

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    Bwana wasira anazeeka vibaya. And another factor ni kwamba yeye mwenyewe anaishia kupiga fitna tu bu ki utendaji ni sifuri. Just like how we used to see kinana. Chadema ipo kwenye transion all rumours will vanish very soon.You will see.
  6. AntCCM

    Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

    Katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa akihojiwa kuhusu hali ilivyo ndani ya chadema amedhibitisha kuwa viongozi waliosimamishwa kazi mikoani wamehusishwa na vitendo vya rushwa na utovu wa nidha mbele ya kamati kuu.Amesema kwa sasa hali ni shwari japo kuna upotoshwaji na siasa chafu...
Back
Top Bottom