Unajua mapenzi ni kitu cha ajabu sana , ameshasema amesalitiwa sasa hapo kuna ushauri tena achukue maamuzi ,anasita bado anampenda kwa maoni yangu kwa sababu ni swala la ndoa amushirikishe mungu zaidi kwa maombi
Jaman amepitia mengi kibinadamu lazima unachoka mwili na akili pia angekuwa mtu mwingine nadhan angekuwa anatembea na drip hata wenyewe humu tunajijua tujiweke kwenye situation yake ungekuaje
Jaman mpaka akasema anahali mbaya means anampenda , tusikimbie kusema wasichana wapo wengi ni kweli wapo wengi but not wealth to be in relashionships na tukiwa na mawazo hayo hatutafika popote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.