Sometimes you have to give people the taste of their own medicine, im not blaming you for a revenge coz i know at least you feel released. Hata huyo amenenepa sababu ya stress, stress zinanenepesha so you won. Ila you guys jaribuni kuvaa kiatu cha mwanamke ambae umemsaliti halafu hana uwezo...
Rudia post yangu kwa makini, for the time being natafuta rafiki sio mume, if happens huko mbeleni tukaamua iwe hivyo baada ya kuona kama tunaweza kucopy poa bt purposely not mume!!!!! So thanks for advice.
Fidel Castro amefariki. Mojawapo wa miamba mikubwa ya siasa za Ulimwengu wa Tatu katika nusu ya pili ya karne ya ishirini imetoa pumzi yake ya mwisho. Yule ambaye Henry Kissinger, mwanadiplomasia wa Kimarekani na hasimu mkubwa wa Mapinduzi ya Cuba chini ya Fidel, aliwahi kumwita 'the most...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.