kama n tofauti n kuku wa kisasa fuga hao wa kienyeji hila uwe n michongo mingine inaingiza kipato.....hila kwangu kuku kienyeji is for fun, au mtu anataka kujionyesha yeye wa zamani hila hapo hamna biashara...
Nunua cage ata ya kuku 200 layers wakianza kutaga miezi 4 umerudisha gharama zako...
Sijakataa wana faida tena nzuri tu
Hila by fact
Imagine una mitetea 100 ya kienyeji inataga na unailisha ratio nzuri tu ya dukani na baada ya siku 22 ya utagaji mitetea 70 inahitaji kuatamia mayai kama ilivyo nature yao.
Usipo wapa wayai itabidi uwafungie week moja plus wanakula bure hili...
Mkuu umeongea kitaalam sana[emoji120][emoji120]
Mimi nimefuga kuku wote kienyeji na chotara ntatumia namba zaidi make hazidanganyi
Mfano ukinunua kifaranga cha chotara wa mwezi 4500/
Gharama za chakula kama kweli uwabanii utatumia 7000/ kwa kuku mmoja hadi anafikisha miezi mitano ambayo vitabu...
Yai la kuku wa kienyeji linakuwa feasible kutotolea kabla ya kufika siku 14 na kuku anaanza kuantamia walau kufika siku ya 21 so mayai yenye uwezo mzuri wa kutotolewa n almost 7 na hapo tumeassume kuku kataga siku zote had siku anataka kuatamia
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yes kilimo na ufugaji kimeingiliwa na madalali wengi amao hawafugi wala kulima kazi kuuza pembejeo na madawa kwa commissions[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
hakunaga ufugaji wa kuku wa kienyeji kibihashara......labda uwalishe udongo cyo vyakula vyenye ratio nzuri
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wanasiasa na maafisa ugani wanawadanganya watu kujiajiri et ujasiliamari kwa kufuga kuku[emoji28][emoji28][emoji28]
hii ni kazi kichaa, watu wanaona ina faida bcoz hawaweki records za matumiz
Pure layers atleast ina faida hizi nyingne is for fun guyz
Sent from my SM-A207F using JamiiForums...
kwanza unaangaliaje mayai wakat kuku ameshahatamia
ulipaswa kuyaandaa kabla ya kumpa hapo unayapa stress
hlo yai limeshaharbika
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Habari ndungu,
Mimi nimfugaji wa nguruwe ni nimekuwa nikipata shida kwenye kunyanganya chakula kizuri cha ziada kwa ajiri ya nguruwe wangu na sitaki kuwalisha mabaki ya chakula.
Kwa anayejua ratio nzuri ambayo imempatia matokeo mazuri anijuze!
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.