Tvs king namba B ya 2017
Ipo katika hali nzuri, tatizo imekosa matunzo, haijawahi kufunguliwa injini wala kupelekwa bodi.
Inafanya safari Ubungo Riverside> Mwenge
Unafika unawasha na kuondoka.
Ipo Ubungo
0654314066
Bei 2.8milioni.
Inatembea moja kwa moja kama wewe hujaamua kupumzika.. ila automatically safari ya Dar to mwanza lazima utapumzika. Ist haichemshi.. nshawahi endesha IST dar to bukoba nlilala ushirombo.
Msaada simu yangu Samsung note 2 imefungiwa naitumia kwa internet pekee kwa laini ya halotel.. ila siwezi kupiga inaandika emergency calls only.. kwa mitandao mingine.. msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.