If humanity is serious about colonizing Mars, we need to get busy studying how to get busy in space..
- Mike Wall.
Kumekuwa na harakati nyingi sana katika huu ulimwengu ambapo nchi za dunia ya kwanza zimekuwa zikienda kufanya shughuli mbali mbali za kitafiti katika sayari nyingine na mwezini...
Kama hali ipo TCRA wenyewe wanatumia huo mtandao 'unaovunja sheria' baadhi ya viongozi pia wanautumia, huko mahakamani mi sijui nin kitatokea haya mashauri bora wayafute tu kuepuka aibu,
Nafikiri kwa hali hiyo hata mkopo wasamehewe sababu wengi waliamua kusoma Elimu, kwa kuwa..
1. Ilikuwa ni priority
2. Wengi ni watoto wa maskini
3. Walikuwa na uhakika wa kulipa pindi watakapoajiliwa
4. Walikuwa wamejiandaa kisaikolojia kukabiliana na mazingira magumu watakayokutana nayo.
5...
Kama una uchungu sana na Ben kiasi cha kufunga, na kwa umetanabaisha kuwa Mbowe anajua Ben alipo na pasipo unafiki wowote tunakuomba upeleke huo ushahidi polisi au mahakamani na Mbowe akamatwe mara moja na wapenda haki tutakuunga mkono.
Vinginevyo kuleta propaganda kwenye mambo serious na...
Whistelblowing site like JF is vital and very crucial in revealing corrupt official, drug dealers and all others who are not after the will of our country. Why they lockup it's co-founder?
What's Mexence is detained for? Please #FreeMexenceMelo
Compare and contrast halmashauri za hao wanaipenda CCM na hao kuichukia CCM zinaongozwa na kina nan na kwa nin kuna tofauti za kimaendeleo? Probably unaweza kujishangaa kwanini unawashangaa.
Nilijua tu Bana lazima awe mentioned. Ila sijui ni kigezo gani huwa hawa wanabari wanakitumia kuwapata wachangiaji wasomi. Au Bana ndio nguli wa Political Science tz nzima? (Japo naye ana km elements za ukijani)
Sijafahamu labda yupo nondo sn, sijawah kufundishwa na huyu jamaa kwa aina ya...
Najaribu kupata picha kama ambaye angedakwa ni kijana kutoka mitaa ya Ufipa au Bavicha. Sijui wakina Lizaboni povu lingewatokaje, Na Kweli kesi ingeisha hivi?
Grief indeed!
. . . . . , . . . .
Mwananchi wa kawaida.
Elimu: la.. VI B
Nafikiri baada ya members kujua kuwa Jamii media inatumia teknolojia ya Encryption ambayo haiwazeshi kumtambua mtumiaji hii inaweza kupelekea wana JF kuwasha moto zaidi sababu hakuna namna watafahamika labda waji expose wenywe.
Lakini nashauri hii isiwe sababu ya wana bodi kuvuka mipaka, JF iwe...
Naona comments nyingi zinazungumzia kuhusu Ben na chadema yake kutafuta kiki. Ila nashindwa kuelewa watu hawa kushindwa kugusia kwa uzito wa juu hawa watu 7 waliotupwa mtoni kana kwamba ni hawana thaman yeyote na kuweka ushabiki wa kisiasa mbele kwa kum_crush Ben na CDM.
Uhai wa mtu...
Wanabodi muda mwingine tuwe serious na tuwe logical oriented, nilidhani ili kuthibitisha unafiki wa hawa jamaa Chadema utasema yupo wapi. Halafu unakuja na maneno matupu.. What if ikithibitika ametekwa kweli?
Yule ni mtu na ana maisha binafsi sio lazima apotee kwa sababu za kisiasa, kwanin...
Anayepingana na hizi nondo nina mashaka na uwezo wake wa kufikiri.
Content with stats.. Anayemjibu tunaomba na yeye aje na takwimu sio maneno matupu. Period
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.