Natamani niend nikasome ili kuepuka hichi kitu japo naogopa kwny kusoma kama ntawez kumaintain time.. Because I got big dreams with my career you may see it on Instagram @munixpic
Kuna namna n ngumu sometimes narudi usiku sana... Unakuta nimeenda ukumbini so changamoto n nying alaf mzazi anakuwa aelewi agomba sana asa me hicho kitu ndio sipend naona kama kinanikosesha amani
Thank you but me nilikuwa nimewaza labda niende nikasome chuo sehem ambayo najua my business will grow fast tofauti na kule mwanzo nilipokuwepo nilikuwa nasoma Mbeya biashara ya photography hapana but napenda sana photography unawez pia nifwatilia kazi zangu instagram @munixpic
Wanangu wa JF mimi bwana nina jambo langu em naombeni ushauri kidogo.
Mimi bwana nimemaliza chuo mwaka jana mwaka huu mwishoni natimiza miaka 23 naishi na mama yangu peke yake mzee alishafariki miaka mitatu sasa ma bro zangu walishaoa masister nao vile vile.
Sasa bwana changamoto yangu ni moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.