Recent content by Anizetha

  1. A

    Nyumba ndogo inanichanganya

    acha ufala unaumia nini wakati na wewe unatoka nje ya ndoa. Unasaliti na unasalitiwa vilevile
  2. A

    Nyumba ndogo inanichanganya

    hajui matumizi
  3. A

    Nyumba ndogo inanichanganya

    unafikiri yeye haumii unavyoenda kwa mkeo na kumuacha pekeyake. Tumia akili. Kula na wewe uliwe
  4. A

    Utajuaje kama mpenzi wako ni mwaminifu au la?

    bora mwenzetu unajifarij
  5. A

    Utajuaje kama mpenzi wako ni mwaminifu au la?

    naungana na Smile. Wanaume wote ni sawa na si kusema wengi
  6. A

    Utajuaje kama mpenzi wako ni mwaminifu au la?

    ni kweli rafiki na walizaliwa tumbo moja. Hakuna mpolewala mkali. Tabia zao ni sawa
  7. A

    Nyumba ndogo inanichanganya

    huo ni uchafu na ulimbukeni wa mapenzi. Acha kuwa mshamba wa mapenzi. Unaonekana kama wewe ni mroho sana wa mabinti wadogo. Na uhakika unawea hata kutembea na binti yako wa kumzaa kam siyo mama yako mzazi au dada yako. Unamuonyeshaje binti mwingine maumbile yako? Jiheshimu si kila mtu unamvulia...
  8. A

    Utajuaje kama mpenzi wako ni mwaminifu au la?

    Nina rafiki yangu tunapendana na ana mpenzi. alinisimulia kitu fulani amabcho hata mimi nimeexpirience. Ni kawaida mpenzi au mume wako anapotoka kazini au katika sehemu yoyote mwanamke unapaswa kumpokea na kumwambia pole. Aidha atakuwa amebebe mzigo wowote labda mapochopocho ya nyumbani au...
  9. A

    Kwa hili chama hakitakuwa cha kifisadi.

    Mkapa, Lowasa, Chenge Jk hawa hawata kwepa. Tatizo je CDM itachukua nchi?
  10. A

    Kwa hili chama hakitakuwa cha kifisadi.

    Huo ni ukweli kwani ccm wanatumia fedha za umma vibaya kwani wanajua hawakuja kuwajibishwa.
  11. A

    Dr. Slaa timiza ahadi yako uliyoitoa wakati wa uchaguzi

    Naunga mkono hoja. Cdm pangeni mikakati ya kwenda mikoa ambayo bado cdm haikubaliki
  12. A

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Ni kweli, na magamba mwaka huu wataaibika sana
  13. A

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Kamati ni nzuri, isipokuwa waislamu ni wengi,sijui kama hakuna agenda ya siri
Back
Top Bottom