Nina rafiki yangu tunapendana na ana mpenzi. alinisimulia kitu fulani amabcho hata mimi nimeexpirience. Ni kawaida mpenzi au mume wako anapotoka kazini au katika sehemu yoyote mwanamke unapaswa kumpokea na kumwambia pole. Aidha atakuwa amebebe mzigo wowote labda mapochopocho ya nyumbani au begi la Laptop ama chochote ameshika mkononi.
Mwanamke utampokea kuonyesha hali ya maenzi kwake, katika mizigo hiyo pia mkononi atakuwa ameshika na simu zake ambazo si chini ya moja na zenyewe utataka kumpokea hizo simu lakini akakukatalia. MWANAMKE UTAHISI NINI?
Au hana mzigo wowote zaidi ya simu zake tu na utakapoenda kumlaki na kumpokea akakukatalia.Mwanzoni ilikuwa ni kawaida unampokea kila kitu ata simu, labda muda umeeeeeeeeeeeeenda sana na kukawa na tofauti haitaji tena umpokee simu zake.
KUTAKUWA NA LOLOTE AMBALO SI JEMA?
Mwanamke utampokea kuonyesha hali ya maenzi kwake, katika mizigo hiyo pia mkononi atakuwa ameshika na simu zake ambazo si chini ya moja na zenyewe utataka kumpokea hizo simu lakini akakukatalia. MWANAMKE UTAHISI NINI?
Au hana mzigo wowote zaidi ya simu zake tu na utakapoenda kumlaki na kumpokea akakukatalia.Mwanzoni ilikuwa ni kawaida unampokea kila kitu ata simu, labda muda umeeeeeeeeeeeeenda sana na kukawa na tofauti haitaji tena umpokee simu zake.
KUTAKUWA NA LOLOTE AMBALO SI JEMA?