Aisee! Wewe ndio umesema ukweli kabisa! Huyu hajitambui. Polisi wa kawaida wanahusika vipi na watalii? Wao wafanye doria Matejoo, UNGA ltd, Ngarenaro, nk wakamate vibaka TU. Kwanza kimalikia ni changamoto sana!
Umesema ukweli kabisa! Fisiem ni laana kubwa sana. Project ngapi zimeanzishwa na zote zimekufa na watu wametajirika kishenzi. Kilimo kwanza Iko wapi? Upuuzi mtupu!
Kwani hata watawala wako wa sasa wanajali hiyo elimu au wazazingatia kuzalisha machawa waliokubuhu ili waendelee kuwa madaraka I TU? Usiwalaumu wakoloni, wale ni wakuja, laumu wenzako ngozi nyeusi, wanapenda Kila mtu aende kwa Mwamposa TU!
Haya ndio mambo ya kushughulikia zaidi kwa serikali kutoa elimu nzuri na ya kuaminika kwa jamii badala ya kuwa bize kufuatilia chadema kwa gharama kubwa na muda. Watu wengi hawajitambui kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.