Duuh nchi inawatu wengi😄😄
Vitu vingine muwe mnanyamaza basi mnatufanya mda mwingne tuonekane sisi ni mazombi ya waarabu na wazungu,
Kwahyo sisi tunaposema Mungu mwenye nguvu,asieshindwa,anaejua kila kitu kabla na baada,mwenye upendo mwenye huruma mwenye hekima na busara, ,,unafikiri Hawa...
Huko katikati ukipita hydomu ukiwa unaenda Arusha Kuna vijiji ni vyaajabu aisee Bado kule watu wanatembea maziwa njenje wanachofunika wao ni pap*ch* tu, nilishangaa sana, mtu anabeba kuni mgongoni, maji anabeba mgongoni mpaka nikajiuliza raisi wetu huyu huyu aliepo daslam ndo anaongoza na Hawa...
Hiyo dini ya haki inawalipa sh ngapi hao wafuasi wao,? Maana mwisho wa yote no 💰 no maisha, kwahyo hata ujue kabisa bila pesa usingeweza kupost hata hichi ulichopost.
Tafuta elaaa wachana na haki na ujinga mwingne.
Kwahyo we unatakaje saivi mimba zibebwe na wanaume ndo ujue kuwa ni ugunduzi mpya au? Maana sisi hata tukitumia umeme ule aliowahi kuutumia babu ila tukautumia kwenye kubuni vitu vipya inakuwa hatuna ubunifu kisa tumetumia umeme ambao wao pia waliwahi kuutumia?
Wewe ni mkosoaji au muwazaji?
Sasa nakwambia ugunduzi tunaoufanyia utafiti na tunao udrafiti nikufika marekani ndani ya nusu saa, ili tukamilishe ile kauli ya dunia kijiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.