Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 902
- 2,420
Kupitia video yao ya leo vijana hawa wametoa wito kwa watanzania kususia mechi zote za timu ya taifa maana TFF inawachezea akili.
Akikazia zaidi, mchokonozi mmoja anayefahamika kama Joseph Mrindoko amesema kuwa viongozi wa TFF ni Wasen.g.e.
Anzia dakika ya 5:20. Ni upi mtazamo wako?
View: https://youtu.be/Jm6VmFRDe1I?si=7MYZjCQfCNryqsrJ
Akikazia zaidi, mchokonozi mmoja anayefahamika kama Joseph Mrindoko amesema kuwa viongozi wa TFF ni Wasen.g.e.
Anzia dakika ya 5:20. Ni upi mtazamo wako?
View: https://youtu.be/Jm6VmFRDe1I?si=7MYZjCQfCNryqsrJ