changamoto moja wapo kubwa inayo perekea wanaume wengi kua ba ujasili wa kukimbia familia na kuterekeza watoto. ni pamoja na kushikilia Kauli na fikra potofu ambazo zimekua zikitumika katika jamii. kuna msemo wa akikua atanitafta.
deni la taifa mpaka sasa limekishwa kufikia asirimia 97 ambayo ni sambamba na sifa za mchi zisizo weza kukopesheka kwa baadae kama tu halito rejeshwa kwa wakati.
nini sababu za kukua kwa deni hilo. kuna sababu kadha wa kadha, na miongoni mwake ni kama;
01 Rais kukosa washauri wazuri na...
mitaba ya MANGUNGO katika jina la UWEKEZAJI
1.Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini
2.Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya...
BARUA YA WAZI KWA RAIS @SuluhuSamia
Mhe. Rais, ninaamini barua hii inakukuta ukiwa na uzima tele. Nina takwimu kidogo nahitaji kukushirikisha.
1. Shule ya Sekondari Chamazi hapo jijini Daresalaam yenye wanafunzi 2,800 ina mwalimu 1 tu wa somo la kiingereza.
Wanafunzi 409 kati ya 624...
politicians state that a teacher should required to use non violent means to handle students with poor behaviour. but while they are talking about it, they fail to display even one non corporal ways that any teacher might use. by myself I believe that. no other way out of sticks. am talking...
No more reason to judge about it. we need to suspect our African students about, after denying a corporal punishment how they will be in schooling life. what are the alternative Tanzanians teachers will use to handle their pupils... and the issue is how many cases has been happened about...
Dah. aisee kuna changamoto kubwa sana watumishi wa umma haswa waalimu ambao sio wazawa wa mkoa wa manyara.
Kumekua na changamoto ya wazazi kusikiriza taarifa wanazo ambiwa na watoto wao zisizo na ukweli wowote juu ya mambo yanayo endelea shule. vijana wengi wamekua ni wavivu wa kuhudhuria shule...
we need to know that. haitakiwi kutukana ukiwa kama mtu unae reply alicho andika mtu kwa kauri ngumu. wala wewe ulie andika hicho kitu hautakiwi kurudishia comment ya mtu kwa maneno makali. emu tujaribu kutumia majukwaa haya yaliyopo JamiiForums kuonesha utashi wetu wa kufikiria juu ya namna...
Jambo la kwanza: ni Tanzania pakee. utakuta mtu kwenye jina la profile ya akaunti yake ya mitandao ya kijamii. anaweka na neno PhD ama Professor ili tu kujitambulisha kwa watu kua ana taaluma ya namna hiyo. Ila tukirudi kwenye ufanisi wa kiutendaji kwenye nafasi aliyopo ni ziro kabisa.
La pili...
Kutokana na uelewa mdogo wa taaluma mbali mbali.
Vijana wengi wanapo hitimu elimu ya sekondari haswa kwa kidato cha sita. hufikiria haswa kusoma masuala ya Udaktari. uwalimu. ama uwanasheria. hakuna cha ziada
ila ni kweli, kumekua na changamoto hii ya mabaki ya mpunga kua kero saana. napendekeza hizi mashine kama inawezekana zingehamishwa na kupelekwa pembeni ya mji kidogo ili kukifanya soko la SIDO kua safi
Moja: Hesabu nyepesi, bunge la Jamuhuri ya Muungano lina idadi ya Wabunge wasio pungua 360.
Kama kila Mbunge akapunguziwa msahara na posho kwa kiasi cha jumla ya sh 1500000, nanaake huyu ataweza kuajiri waalimu watatu wa ngazi ya msahara wa laki 5 hi to kwenye wabunge 360 tutapata waalimu...
kikubwa ni kwamba kila mmoja anadili na changamoto zake. hakuana mahara Afrika utasikia watu 200 wafariki kwa kukosa maji, bali utasikia watu katika kijiji frani wanararamika kwa kufuata maji umbali mrefu. ila kwa upande wa Irani utasikia watu 1000 wauwawa na wengine 200 wajeruhiwa kwa vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.