Kinachonishangaza ni wewe kutamani kufanana na Iddi Amini. Inaogopesha sana kuwepo na watu kama wewe kwenye jamii yetu. Watu wenye tamaa ya power na madaraka ili wayatumie kufurusha na kunyanyasa wenzao wenye mawazo tofauti na wao. Watumie madaraka yao kunyima wenzao haki zao zilizowekwa...
Historia inatuambia Amini alikimbia UG baada ya jeshi la Tanzania kumsambaratisha. Unaweza ukakataa hii historia pia. Waganda walifurahi na kushangilia kama walivyofurahi alipoingia madarakani.
Amini alikuwa na watoto zaidi ya 40 wako wapi? Nini ameacha dunia hii? Na kwa jinsi ulivyo na chuki...
Kuishi allivyotaka????!!!!??? Unachekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asingekimbilia ugenini. Angejibanza pale pale UG. Mtu mwenye mapenzi yote yale kwa nchi yake alikimbia ya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.