Recent content by AngeloTitta

  1. AngeloTitta

    Usalama wa Taifa hutangaza nafasi za kazi ila sio direct kama watu tuvyofikiria

    Unajua kujenga hoja, hapo nimekupenda..ila ukweli ni tofauti na usemavyo..kwa nini. Nifwate Pm kama thread hii umeandika ww..unaweza fanya kitu kwa ajili ya nchi yako...uko na akili unic sana hongera.
  2. AngeloTitta

    Msaada: Natafuta kazi yoyote ya halali

    Umeongea ukweli mtupu endelea kumuomba Mungu utapata ila ni vizur ungeanza kwa kujiajir njoo Dm nitakupatia mtaji uanze hata kuuza juice hy itakusaidia na kukupa sababu ya kukutana na watu watakaokusaidia
  3. AngeloTitta

    Samsung Galaxy S4 inauzwa

    Namba nimekosea kidogo ni 0719272802
  4. AngeloTitta

    Samsung Galaxy S4 inauzwa

    Habari zenu wanajamvi wa MMU, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo. Simu haina tatizo kabisa. Imetumika kwa miezi mitano. charge yake ipo original. Bei ni Tsh 250,000/= Pungufu Tunazungumza. Kwa anayeitaji tuwasiliane kwa Simu no. 0719272802
  5. AngeloTitta

    Utapeli Upya: Madadali wa wadada wanaojiuza huko Istagram

    Kweli kabisa umekomaa kuchochea ushetani..kazi ya dhambi, huathiriwa a dhambi. Kweli dunia inapotea
  6. AngeloTitta

    I'm HIV + naanza safari yangu ya matumaini

    Pole Sana mkuu...but unachotakiwa kujua yapo magonjwa hatari zaid ya HIV ingawaje watu wanayachukulia simple, Kama vile Presha, Homa ya ini na saratan but still maisha uanendelea ila tambua kwanza hatua uliopo sasa ni nzuri kwa sababu unajua kuwa ww ni HIV+ hiyo ni hatua kubwa Sana...
  7. AngeloTitta

    Wanaume tuone aibu wake zetu kwenda kuomba omba kwa majirani

    Kama anarudisha shida ikowapi roho mbaya ya vidogo km hvy haifai
  8. AngeloTitta

    Ladha ya kupombeka

    kale kadude kako na visa mingi mno
  9. AngeloTitta

    Watambue madalali wa shetani

    Absolutely true bila ubishi
  10. AngeloTitta

    Ni kweli wanaume waliooa wanawake wasomi wanapata raha hizi?

    Mwanamke msomi anaraha yake ila sasa sometimes wanakuwaga much know Sana yani haelekezek ila kwa ubora bora aliesoma kuliko aliyeishia drs la 7
Back
Top Bottom