Leo wakati na install Windows 8.1 nilijikuta naformat local disk C kuangalia kumbe Window setup haikuwa inasatisfy computer
Hivyo nikarudi kuwasha komputer yangu ili nilog in ila ikagoma ikaniletea errors sasa sijajua namna Ya kudeal na hili
Tafadhali naomba mnisadie
Ilikuwa inaonekana...
Mimi nimelipia gharama nyingine Za udom
Direct cost Na udoso fee Na quality assurance
Vipi naweza kupokelewa ??
Sijalipia Ada (Tuition fee)
Naomba msaada
Mimi nilikoconfirm second round udom, ila Mpaka sasa sijapata joining instruction wala admission letter
Naombeni kwa yeyote mwenye nazo anisaidie,, maana Mpaka sasa sijui nafanyaje
Msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.