Recent content by Angellight

  1. A

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Dear future hubby Nipo mke na bonus ya three kids nakupa kabisa kwa jina lako. Changamkia fursa Yaani kama wamekunyanyasa huzalishi nakupa watoto kisheria kabisa Check my PM
  2. A

    Nionavyo Mimi Kuhusu Askofu Gwajima...

    Kifupi walimlazimisha ubunge kwa kuexpose zike video za ngono.....lkn hakupenda na anatafuta sababu auache ubunge..Ni hivyo tu
  3. A

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Huyu mama ajengewe sanamu yake pale njia panda ya kwenda West Kilimanjaro kumuenzi
  4. A

    Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

    Tunapenda wawe na homework lkn iwe kitu walichofundishwa darasani ...Sasa unakuta mtoto hajafundishwa .Matokeo yake tunalipa ada na kufanya kazi yenu ya ualimu...inaboa mno..saa ngapi tutafute hela na saa ngapi tufanye homework...wapeni watoto homework baada ya kuwafundisha...sio kila mtu ana...
  5. A

    Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

    Acha tu Eti HIV/AIDS TB CHOLERA Darasa la pili Akija na homework nagoogle hahahahaa
  6. A

    Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

    Aiseee you was in my head....ahsante kwa hii thread ...sijui nisemaje yaani...nasubiri tu kikao Cha wazazi niongee
  7. A

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    SIFA ZANGU Miaka 32 Makazi Dar Elimu Postgraduate Mwajiriwa Watoto 3 Mkristo NIMTAKAYE Natafuta mtu mzima kuanzia 37-45 asiye na malengo wa kuzaa tena na nitapenda awe na watoto .....tuunganishe familia na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu...wagane watapewa kipaumbele.
Back
Top Bottom