Recent content by Angel44

  1. A

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Hapo kwenye kilo naona siwezi kizi. Nimepita wat u wanted. All the best
  2. A

    Kuzaa kila mtoto na baba yake ni kudhihirisha ukahaba

    Ila wanaume nyie mfyuu si mnasema hamtaki kuoa single mom. Acha tuzae am plann niongezee watto 5 kila mmoja na baba yakr
  3. A

    Nyie baby daddies mnatutesa sana hamjui tu. Mwenzenu niko njia panda sielewi

    Nakuelewa sana. Nami napitia same situation kuzaa home na mtoto dah basi tu. Kuna vijineno hivi mwanzon viliniumiza nikawa kauzu flani i dont care imenisaidia sana. Now kuhusu huyo mbaba muandikishane mapema nyumba iwe mbali na kwenu. Abadilishe hati na kadi ya gari isome majina yako akupe ww...
  4. A

    Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

    Mimi nataka bonge la sherehe ukumbi mlimani city, mapambo ml 4, gauni langu sio chini ya ml 5, tuseme 60ml for harusi then honeymoon iwe Dubai kwa mwez 1
  5. A

    Wana JF yamenikuta ya huyu binti mwenye mtoto, tafadhali naombeni ushauri

    Nimesoma huko juu. Kama mkigombana anampigia mzaz mwenzie simu she is askin for attention. Mkogombana muombe msamaha mnunulie hata ka pipi
  6. A

    Looking for "Matured Woman" for Serious Relationship

    Dah many conditions hapo so from Moshi hutaki, aya bana ol the best
  7. A

    Naombeni mnisaidie katika hili, nifanye nini kumrudisha baba mtoto wangu?

    Njoo dm nikuelekeze single mom mwenzangu Hapa staki wajue mbinu
  8. A

    Hivi mwanamke kuomba gemu ni umalaya au uwazi?

    Sioni tatizo sema wanaume wengine waii ukiomba shida ila normal tu
  9. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nliwahi liwa kimasihara kipindi cha babu wa loliondo,[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] Kaka wa besty yangu. Njiani tuligombana sana na besty wangu pombe hizi, so tunafika kule usiku sehemu ya kulala ni gesti tena tulipata chumba kimoja, ilitakiwa mm na besty kitandani then kaka yake sakafuni...
  10. A

    Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

    Its normal gal. Wapnga tu muhimu wasikutane na kila mmoja ajihisi special
  11. A

    Jamaa anamfuatilia mke wangu

    Trust ur woman. Then acheni kuponda single mums. If we are done we r done. Na tukipenda tunapenda
  12. A

    Navutiwa na wanawake watu wazima

    Sio ww tu nahisi na wazee umri 70 na vimvii hivi yaani nahisi now ths is the husband
Back
Top Bottom