Nakuelewa sana.
Nami napitia same situation kuzaa home na mtoto dah basi tu. Kuna vijineno hivi mwanzon viliniumiza nikawa kauzu flani i dont care imenisaidia sana.
Now kuhusu huyo mbaba muandikishane mapema nyumba iwe mbali na kwenu. Abadilishe hati na kadi ya gari isome majina yako akupe ww...
Mimi nataka bonge la sherehe ukumbi mlimani city, mapambo ml 4, gauni langu sio chini ya ml 5, tuseme 60ml for harusi then honeymoon iwe Dubai kwa mwez 1
Nliwahi liwa kimasihara kipindi cha babu wa loliondo,[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Kaka wa besty yangu. Njiani tuligombana sana na besty wangu pombe hizi, so tunafika kule usiku sehemu ya kulala ni gesti tena tulipata chumba kimoja, ilitakiwa mm na besty kitandani then kaka yake sakafuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.