Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Thamani ya ndoa itabaki palepale sababu ndoa ni mpango wa Mungu ndoa ni kielelezo cha utu na heshima ya mwanadamu ndoa ni kilele cha malengo na matarajio ya mwili wa mwanadamu.Ndoa ni jambo muhimu kwa maisha ya binadamu na kizazi chake.
Moja ya dalili mbaya ya mmonyoko wa maadili na kukithiri kwa ujinga ni wanawake kufikia hatua ya kujivunia uzinzi na kuzaa watoto wazinaa.
Kuzaa zaa hovyo tena na mababa tofauti tofauti ni kuharibu future ya watoto wako sio ujanja bali ni ujinga. Itakupelekea kupata tabu ya malezi sababu siku zote malezi bora ya watoto yanatokana familia ya wazazi wawili.
Nikuchangaya damu na na kuvuruga kizazi chako unakuwa umepanda mbegu aina nyingi katika shamba moja hapo kila mtoto atakuwa na tabia yake kila mtoto ana ukoo wake unaleta mseto wa hovyo ambao utakucost wewe mwenyewe baadaye.
Unajidhalilisha na kudhihirisha ukahaba wako katika jamii na na hata kwa watoto wako kuna asilimia kubwa watoto wako kuja kuathirika na hiyo tabia yako na wapo watakao kuja kurithi huo mfumo wako wa maisha usishangae na wao kujakuzaa bila ndoa na wapo watakao kuja kujutia kuzaliwa na mama kama wewe usiye na maadili.
Kupandikiza mbegu ya chuki baina ya watoto wenyewe kwa wenyewe ikitokea katika hao watoto wale watoto ambao mababa zao wanahudumia vizuri watajiona wao ni bora kuliko wenzao ambao hawahudumiwi na baba zao tayari mpasuko unaanzia hapo.
Kutengeneza visasi na uhasama baina ya watoto na mababa zao ,kuna baadhi ya mababa watamalizana na wewe baada ya kujua kuwa unageuza watoto wao kuwa mtaji hiyo itapelekea kususia kutoa huduma na kuwatelekeza watoto tayari itakuwa ni bifu la baadae hilo kati ya baba na mwanae.
Unajipa mizigo na majukumu ambayo yatakufanya upate tabu na shida mpaka ujione unamikosi sababu hutoolewa hakuna mwanaume ambaye yuko tayari kuoa mwanamke mwenye msururu wa watoto tena kila mmoja na baba yake wanaume wenyewe hawa wa leo wanavyojua kukwepa majukumu yao.
Kupata tabu katika kupata huduma za watoto ,lazima utapata shida katika kuwafuatilia hao wazazi wenzio watoe huduma kama ikitokea wakawa na utata katika kutoa huduma za watoto bado utafeli hivi utaweza kuwapeleka mababa wanne au watatu wote ustawi wa jamii?
Ushauri wa bure kwa wanawake wote ikitokea umepata mtoto na baba hasomeki basi iwe ni funzo na mazingatio ujitathmini wapi ulikosea na nini cha kufanya sio kukurupuka kujizalisha hovyo tena ,ukitegemea utapata huduma kwa mababa hao ndugu yangu wanaume wengi huwa hawatahamini watoto wao wa nje ya ndoa unajitia katika mtihani mzito katika maisha yako fikiria kwanza kabla ya kutenda na muonee huruma huyo kiumbe asiye na hatia utakayemzaa.
Moja ya dalili mbaya ya mmonyoko wa maadili na kukithiri kwa ujinga ni wanawake kufikia hatua ya kujivunia uzinzi na kuzaa watoto wazinaa.
Kuzaa zaa hovyo tena na mababa tofauti tofauti ni kuharibu future ya watoto wako sio ujanja bali ni ujinga. Itakupelekea kupata tabu ya malezi sababu siku zote malezi bora ya watoto yanatokana familia ya wazazi wawili.
Nikuchangaya damu na na kuvuruga kizazi chako unakuwa umepanda mbegu aina nyingi katika shamba moja hapo kila mtoto atakuwa na tabia yake kila mtoto ana ukoo wake unaleta mseto wa hovyo ambao utakucost wewe mwenyewe baadaye.
Unajidhalilisha na kudhihirisha ukahaba wako katika jamii na na hata kwa watoto wako kuna asilimia kubwa watoto wako kuja kuathirika na hiyo tabia yako na wapo watakao kuja kurithi huo mfumo wako wa maisha usishangae na wao kujakuzaa bila ndoa na wapo watakao kuja kujutia kuzaliwa na mama kama wewe usiye na maadili.
Kupandikiza mbegu ya chuki baina ya watoto wenyewe kwa wenyewe ikitokea katika hao watoto wale watoto ambao mababa zao wanahudumia vizuri watajiona wao ni bora kuliko wenzao ambao hawahudumiwi na baba zao tayari mpasuko unaanzia hapo.
Kutengeneza visasi na uhasama baina ya watoto na mababa zao ,kuna baadhi ya mababa watamalizana na wewe baada ya kujua kuwa unageuza watoto wao kuwa mtaji hiyo itapelekea kususia kutoa huduma na kuwatelekeza watoto tayari itakuwa ni bifu la baadae hilo kati ya baba na mwanae.
Unajipa mizigo na majukumu ambayo yatakufanya upate tabu na shida mpaka ujione unamikosi sababu hutoolewa hakuna mwanaume ambaye yuko tayari kuoa mwanamke mwenye msururu wa watoto tena kila mmoja na baba yake wanaume wenyewe hawa wa leo wanavyojua kukwepa majukumu yao.
Kupata tabu katika kupata huduma za watoto ,lazima utapata shida katika kuwafuatilia hao wazazi wenzio watoe huduma kama ikitokea wakawa na utata katika kutoa huduma za watoto bado utafeli hivi utaweza kuwapeleka mababa wanne au watatu wote ustawi wa jamii?
Ushauri wa bure kwa wanawake wote ikitokea umepata mtoto na baba hasomeki basi iwe ni funzo na mazingatio ujitathmini wapi ulikosea na nini cha kufanya sio kukurupuka kujizalisha hovyo tena ,ukitegemea utapata huduma kwa mababa hao ndugu yangu wanaume wengi huwa hawatahamini watoto wao wa nje ya ndoa unajitia katika mtihani mzito katika maisha yako fikiria kwanza kabla ya kutenda na muonee huruma huyo kiumbe asiye na hatia utakayemzaa.