Recent content by angazabade

  1. angazabade

    elimu ya ujasiliamali

    Leo nimependelea kushilikiana nanyi elimu hii ya ujasiliamali,karibuni kuchangia zaidi ili tupeane ujuzi zaidi; Mjasiliamali - ni mtu anayeiona fursa na kuifanyia kazi, Ujasiliamili - ni yale matokeo baada ya kuifanyia kazi fursa, Fursa malanyingi huwa ni changamoto iliyopo au tatizo au swali...
  2. angazabade

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Nime maliza kidato cha nne na kupata iii-23, phy-C, chem-D, b/math-C, bios-C Je! naweza kusoma hapo kozi ya machenical engeneering kwa kuanzia diploma?
  3. angazabade

    gharama za ndoa na harusi

    karibu utoe mtazamowako juuya hili, kipi bora KUWA NA NDOA ZA GHARAMA KUUBWA SANA AU KUWA NA NYUMBA ZENYE MAISHA MAZURI BAADA YA NDOA? je nijambo jema kutumia gharama kuubwa sana kwenye ndoa na harusi zake na pesa zote zikaisha, baada ya ndoa maisha yakabaki kuwa ya kimaskini? katika jamii zetu...
Back
Top Bottom