gharama za ndoa na harusi

gharama za ndoa na harusi

angazabade

New Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
3
Reaction score
3
karibu utoe mtazamowako juuya hili, kipi bora KUWA NA NDOA ZA GHARAMA KUUBWA SANA AU KUWA NA NYUMBA ZENYE MAISHA MAZURI BAADA YA NDOA?

je nijambo jema kutumia gharama kuubwa sana kwenye ndoa na harusi zake na pesa zote zikaisha, baada ya ndoa maisha yakabaki kuwa ya kimaskini? katika jamii zetu hasa kwa hapa tanzania imezoeleka kuwa na bajeti kubwa za harusi na kusahau kuwa baada ya harusi huwa maisha yanaendelea!. je nibusala kuwazawadia maharusi friji badala ya kuwapa mabati,kiwanja au nyumba?. tunapokuwa katika harusi tunapaswa kukumbuka kuwa baada ya hapo maisha yataendelea, harusi ya gharama ndogo maisha mazuri na harusi ya gharama kubwa maisha ya taabu, uchaguzi ni wetu.
 
karibu utoe mtazamowako juuya hili, kipi bora KUWA NA NDOA ZA GHARAMA KUUBWA SANA AU KUWA NA NYUMBA ZENYE MAISHA MAZURI BAADA YA NDOA?

je nijambo jema kutumia gharama kuubwa sana kwenye ndoa na harusi zake na pesa zote zikaisha, baada ya ndoa maisha yakabaki kuwa ya kimaskini? katika jamii zetu hasa kwa hapa tanzania imezoeleka kuwa na bajeti kubwa za harusi na kusahau kuwa baada ya harusi huwa maisha yanaendelea!. je nibusala kuwazawadia maharusi friji badala ya kuwapa mabati,kiwanja au nyumba?. tunapokuwa katika harusi tunapaswa kukumbuka kuwa baada ya hapo maisha yataendelea, harusi ya gharama ndogo maisha mazuri na harusi ya gharama kubwa maisha ya taabu, uchaguzi ni wetu.
Ukitaka mambo unayoyataka oa mwarabu!
Wale humpa mtoto wao vitu vitakavyowapunguzia ukali wa maisha baada ya ndoa. kama viwanja, gari la kusanyia, mashine na vitu
Ila kibongo bongo ilo sahau ndugu,
msiba unagharimu milioni wakati mgonjwa Kafa kwa kukosa dawa ya elfu 10.
 
Fanya sherehe ya watu 70 tu,yaishe wale muhimu tu maishani mwako waalike basi
 
Sherehe kubwa ina raha yake ila kama hauna uwezo au wadau wa kukuchangia funga ndoa kibubu-bubu.

Ni kama kwenye mambo ya simu, kila mtu anapenda awe na simu nzuri ila kama uwezo hauna unatumia Tecno na kujipa moyo na sababu za uongo.
 
Back
Top Bottom