Recent content by andrew.shimba

  1. andrew.shimba

    President Samia on a panic mode

    Mabinti wa Ufalme wa Saudia (Princess') huwa wanalalamika kuishi kama wafungwa, sidhani kama uko sahihi
  2. andrew.shimba

    President Samia on a panic mode

    Swala sio upinzani ila ni Rais kuwa mwanamke kwa misingi ya dini yake, unadhilifu unaofanyika Tanganyika na sintofahamu ndani ya Chama chake
  3. andrew.shimba

    TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

    ”umeme bora na rahisi...tofauti Yake...unahitaji fedha na utaalamu wa uhakika” kauli yako inajichanganya Mkuu, ukisema Bora naelewa Utaalam unao na ukisema Rahisi ina maana Pesa zipo. Sasa tatizo ni nini?
  4. andrew.shimba

    Mnaohama vyama msifikiri Watanzania ni wajinga

    Kupenda MISAADA ni kuwaza kimaskini sana, tupo watanzania tusio penda misaada. Kila mtu awajibike Kwa nafasi yake
  5. andrew.shimba

    Rais Magufuli: Upinzani wa sasa umebadilika

    Mheshimiwa Rais ameliona hilo, sisi wengine tusiishi kwa mazoea
  6. andrew.shimba

    Vita ya Urais 2020: Lissu Vs Magufuli Vs Membe nini kitatokea?

    Fuatilia historia ya Uhuru Kenyatta, haya mambo hayana formula
  7. andrew.shimba

    Kumekucha Tanzania: Barrick na Serikali ya Tanzania waunda Kampuni ya Madini

    Kwenye 16% jumlisha na asilimia za kodi zote ambazo Serikali itachukua ndio utajua jumla ya asilimia ambazo Watanzania watapata, liangalie kwa undani zaidi
  8. andrew.shimba

    Muuaji wa Sokoine, Ndugu Dube yupo wapi? kwanini hajafungwa baada ya mauaji yale

    Ukizingatia wakati ule Magari ya Viongozi yalikua na Seat Cover nyeupe sidhani kama Seat Belt walikua wanafunga, Kwa mtazamo wangu tu
  9. andrew.shimba

    Nini kimetokea gesi ya Mtwara hadi kuanza upya na Stiegler`s Gorge?

    Kama ni ghali walianzisha wa nini?
  10. andrew.shimba

    Kilichotakiwa kujengwa Mbezi Mwisho hiki hapa. TANROADS mnakosea wapi?

    Kuna mdau anadhani Eneo, kama wataweka Mataa watakua wanalisogeza tatizo Mbezi mkuu
  11. andrew.shimba

    Kilichotakiwa kujengwa Mbezi Mwisho hiki hapa. TANROADS mnakosea wapi?

    Kumbe tatizo ni eneo! Hesabu zingine hizi...
Back
Top Bottom