Recent content by ANDREW MARTINE

  1. A

    Ukubalikaji wa wagombea urais CCM

    Inawezekana data hizo zimetoka kwenye kundi lenu tu....Tupatie data za watanzania wote
  2. A

    Tafakuri yakinifu kuhusu wagombea urais

    Naomba nichangie kidogo kuhusu watia nia wa ccm ambao tayari wamechukua form.Ukiangalia na kuchambua kwa umakini hotuba za watia nia wa ccm,Wengi wao walitoa ahadi tu na kwa kiwango kikubwa hawakuonyesha kwamba wanazitambua matatizo yanayowakabili watanzania.Kwa mfano:Matatizo yanayowakabili...
  3. A

    Lowassa: Je, historia itajirudia au kila nyota na anga lake?

    Mimi nafikiri tusifanye kufuru kwa mungu kwa kumuita binadamu ni sawa naye!.....Kumbukeni katika biblia takatifu inatuambia kuwa Mfalme herode alipokuwa akiongea,..watu wake walimshangilia kwa kusema kuwa sauti yake ilikuwa sawa na sauti ya Mungu!,...je, nini kilitokea?...Alianguka chini na...
  4. A

    Lowassa apigwa mawe Tarime

    Binafsi nafikiri kitendo hicho si cha kistaraabu,Kwani wangelimsikiliza then wakatae hoja zake!.But kuna historia mbaya itakayowafika hawa viongozi wetu,hususan walioko madarakani......'Kama watanzania watakumbuka vizuri,Serikali hii ya kikwete ndiyo serikali pekee ambayo viongozi wastaafu na...
  5. A

    Baadhi ya Mapungufu ya Kambi ya Lowassa na Urais Jipangeni tena!

    Ni kweli Willium,Kwa sababu mara nyingi sisi kama watanzania tunapokuwa tunaangalia madhaifu ya mtu katika maswala ya msingi kwa taifa letu,Tumekuwa tukigawanyika kwa kuangalia mtoa hoja ni nani,anatoka wapi,chama/kambi gani,dini gani nk Badala ya kutafakari hoja.Kama kweli tunataka kiongozi wa...
  6. A

    GE2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

    Pamoja na kwamba membe ni mwanadiplomasia aliyebobea,Bado uwezo wa kujenga hoja,kutoa hotuba yenye mtiririko wenye ladha ni SIFURI KABISA.Kwa jinsi membe anavyotagaza nia yake,Anavyorukaruka katika hoja zake,Huenda akajikuta anakuwa na maadui wengi kutoka maeneo mbalimbali.Hotuba yake imejaa...
  7. A

    Ofisi ya CHADEMA yavunjwa na kuporwa vitu

    hao inawezekana ni wasaliti,ccm au act
  8. A

    Kabla ya kuoa inabidi ujifunze hii staili...

    kweli kwelikwelimmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
  9. A

    Yaliyojiri Mwitongo, kutangaza kuwania urais kwa Makongoro Nyerere

    Nani asiyejua kuwa rais mstaafu BENJAMI MKAPA ni alikuwa na bado ni mpiga tungi mzuri?,But mbona aliongoza vizuri kuliko wasiopiga tungi!.So,Sifa ya rais tunayemtaka si asiyepiga tungi,bali ni lazima awe ni mtu anayeyaelewa matatizo yanayowakabili watanzani na awe na mpango mkakati utakaowezesha...
  10. A

    Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la Richmond!, Bora Ujikalie Kimya!

    Sidhani kama hon mwakyembe anaweza kuandika ujumbe wa namna hiyo na kuipost hapa JF!.Mi nafikiri aidha ni wapinzani wa EL au ni wapambe wa EL ambao wametengeneza 'hiyo',then wamwambie EL Awape mshiko ili wamjibu hon.mwakyembe feki!.Kwa lugha nyingine ni kwamba,"wanajitekenya wenyewe na kucheka...
  11. A

    Malecela: Kingunge hana shukrani

    kingunge ni mboga ulichina.....................................Na alama yake ni 666
  12. A

    Hawa walisherekea kifo cha Mwalimu Nyerere, leo wanamtumia kuutaka urais!

    Habari zenu wana jamvi! Kama inavyoeleweka na wengi kuwa nchi yetu inatrajia kufanya uchaguzi mkuu october 25, 2015. Ni vyema watanzania wote kwa umoja wetu bila ya kujali tofauti zetu na kutafakari kwa kina ni nini tunatarajia kufanya katika uchaguzi huu ili itakapo fika siku ya kupiga...
Back
Top Bottom