Hii ndio sababu watu wenye uwezo mzuri wa kufikiri wanatakiwa kusikilizwa ushauri wao wa hekima sasa tunachokipata ni matokeo ya kuweka pamba masikioni
Tulishawahi kisikia kuna watu wamehifadhi fedha inje ya inchi lakini mpaka leo kimya au hizi za ndani inabidi ziende inje ndio ionyeshe amekua mzarendo
Washitakiwe kabisa kwasababu ndio waliochelewesha kutoa form mpaka shida inatokea saa kumi na mbili jioni na kesho yake uchaguzi we hutoi form washitakiwe kabisa
kitu kidogo koz aliyakufa hawahusu angekuwa mwanao, dada Yako ungejisikia kile wanchojisikia wazazi wake ikumbukwe kuna inchi ambazo kifo cha mtu mmoja kinaweza kuleta ghadhabu kubwa lakini kwasababu ni TANZANIA tuendelee tumalizeni tu
nadhani haina tofauti na lile tangazo la nyongeza y mshahara lililotolewa zanzbar .mpaka leo TUKTA kimya kama hakuna kilichotokea ngoja tusubiri tuone 0.8%
Jambo rahisi sana siyo kweli kwamba kila aliye jela hakuwahi kutenda Jambo jema katika jamii ,na siyo kweli kwamba kila asiye na vyeti hana uwezo lakini Tukiwa na akili zetu bila kilevi chochote watumishi zaidi ya elfu kumi waliondolewa kwa sababu ya taratibu za kisheria ambazo sisi wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.