KAmanda Hongereni sana! Sisi huku tunaendelea kufanya maombi ili tushinde kwa kishindo, msiache kututumia picha!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Alafu nimekufahamu ww uliye post! Waliokutuma waambie kazi ndo umeianza lakini umeshindwa huwezi kufanikiwa hata kidogo! Nafikiri nenda Nigeria kwanza alipokuwa bos wako Zitto ukatambike kwanza! Au mwambie Zitto akuonyeshe anaendaga kwa waganga wapi!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Tanzania hatuna Aman! Bali ni waoga na tuko washamba! Kila siku tunaambiwa ni Nchi ya Amani tunashangilia.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mimi nasema kuanzia sasa ccm inabidi waanza kufungasha vilago! Maana SIMBA WA TANZANIA ameshinda mtihani wa mwisho tu,hamna majaribu mengine tena! Sasa tunajiandaa kwenda Ikulu! Asante sana pia Dr. Wakusomea sio kupewa!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
''Dr. Slaa aliomba'' ilikuwa ni lini? Utumwa mbaya ! Hata aliyekutuma unashindwa kumwambie akufundishe kutofautisha wakati uliopo,uliopita ,na ujao! Vyote unaunganisha! Mnatumika vibaya! Lakini afadhali nyumbani familia imeenda chooni.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Uyu Mwigulu nafikiri atakuwa na Mbingu ya kwake akifa sio bule! Make amekuwa Mungu Mutu apa Duniani! Sasa mm namuomba Mungu amuongeze ujasili afanye zaidi ya haya anayo yafanya.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.