Siku zote nimekuwa nikisema, nalichukia JESHI letu, hasa roho mbaya za wanajeshi! Mimi sielewi hao wabunge wanaopigia debe muda wa wanafunzi kwenda Jeshini uongezwe kutoka miez 3 hadi 6 kama wanjua madhila wanayokutana vijana wetu, cjui wanataka wafundishwe roho mbaya...