Recent content by ANCY

  1. A

    Uchaguzi mkuu 2015 ni muhimu kuzingatia Ushauri wa Prof Lumumba

    What I know from this speech he said " WE AFRICANS" and not "WE TANZANIANS".. It's a living speech for Africans of this era.
  2. A

    Je Unajua Aliyevujisha Post?

    Kuna mambo ukiyafahamu hata kidogo tu hutayumbishwa hata siku moja. Jamiiforums ni system inayotegemea members ambao wapo kila sehemu(including wewe na tcu) na servers zenye post zipo tcu na sio jamiiforums (ndo maana uki click link unaambiwa server not found ikimaanisha wametoa page kwenye...
  3. A

    Ushauri kwa wote wanaojiandaa kujiunga na vyuo mbalimbali

    Kwa mfumo wa elimu ya nchi yetu Tanzania (sijui nyingine) ni wazi kwamba tunasoma kwa muda mrefu mambo mengi yasiyohusiana ma taaluma tunazozipenda kutoka shule za msingi mpaka kidato cha sita kwa mfano: kutoka darasa la kwanza mpaka la saba tunasoma ili tufaulu mitihani tu, kidato cha kwanza na...
  4. A

    (Kambi Ya Kimataifa kwa Vijana) Tanzania International Youth Camp

    Kwa hesabu ya haraka sh. 50,000/= kwa wiki 2 ni wastani wa sh. 3571.4 kwa siku itakayogharamia malazi, chakula, tours na kuna vyeti na nimecheki hapo programmes ni nyingi kwa kweli. Naomba kama nitasaidiwa maelezo ya kutosha kama kuna wadhamini wengine wanaosapoti hii kitu kwa sababu ni moja ya...
  5. A

    Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya bachelor of science in health information systems

    Ni HEALTH SYSTEM MANAGEMENT na sio HEALTH SERVICE MANAGEMENT ndugu yangu.
  6. A

    Rais Kikwete akutana na wasanii wa Marekani waliokuja kutoa mafunzo kwa wasanii wa Tanzania

    Duh!! Kwa hiyo watapiga picha mbugani pia!!!! kwanini wasipelekwe chuo cha sanaa bagamoyo waendelee kutufundisha pale??? Ni mara ngapi tumetumia wataalamu wetu kabla ya kutoka nje?? nachoka sana ninapoona tunatumia fedha nyingi kwa mambo yasiyo endelevu!!
  7. A

    Desktop computers for sale

    RAM 512 utaweka operating system gani na windows xp ishapigwa chini?
  8. A

    Pool table linauzwa kwa bei nzuri!!

    Mkuu Zanzibar Spices, mbona jamaa kaweka kila kitu hapo juu? labda picha tu..
  9. A

    Mbowe, viongozi CHADEMA wahudhuria harusi ya Nassari, wakwepa msiba wa mama Zitto

    Siku zote mtu anayependa kuangalia fulani kafanya nini hana kawaida ya kufanikiwa hasa ukizingatia anayofuatilia hayana positive impact kwake au jamii inayomzunguka. Shida na raha ni matukio tu na kuhudhuria au kutohudhuria si kesi na ukiona unahudhuria kwa sababu tu watu watakuonaje haisaidii...
  10. A

    Mbegu za Nyanya aina ya Anna F1

    Kwa kuwa anafanya biashara jaribu kumpigia umueleze kama namba yake inahitajika akiona itasaidia aruhusu tu watz wajiajiri..
  11. A

    Hivi hii gari huwa trafic na sumatra hawaioni???

    Hili gari lipapiga safari zake iringa mjini - kilolo na linafika vijiji ambavyo hakuna basi linaingia huko. Tangu utoto wangu mpaka sasa mtu mzima naliona hivo hivo halijawahi badilika
  12. A

    Salamu kwa CCM kutoka kwa wasomi wa UDOM

    Watatapatapa sana kutoa majibu hapa jf lakini ukweli ushasimama kidete... twende kazi kaka jambaz ujumbe ushafika huooooo........
  13. A

    Ni ukosefu wa akili kucheka misiba ya watu, kwanini diaspora wakifa wengine huchekelea?

    Kama ulizaliwa kifo hakikwepeki lakini kuishi wapi ni maamuzi yako kulingana na uwezo, nafasi na mahitaji yako kuhakikisha maisha yanasonga. Kwa hali ya kawaida kabisa kifo kwa binadamu ni huzuni sasa ikitokea binadamu mmoja anacheka kifo cha binadamu mwingine kuna tatizo... Wote tutakwenda humo...
Back
Top Bottom