Recent content by anco

  1. anco

    JamiiForums Tanzania Kusikia aibu kwa kitu alichokifanya mtu mwingine sababu ni nini?

    Jinsia yako,umri wako tafadhali
  2. anco

    JamiiForums Tanzania GSM kutoa zawadi ya 10,mil kwa kila point 3 Yanga

    Tafadhali sana mkuu utadhalilika. Kwa yanga ipi inayokutia kiburi hivi
  3. anco

    JamiiForums Tanzania GSM kutoa zawadi ya 10,mil kwa kila point 3 Yanga

    Nawapongeza sana TFF kwa moyo wa huruma waliouonesha kwa ndg zetu gongowazi. Laiti mechi ya Simba na Yanga zingechezwa mwanzoni mwanzoni mwa msimu huu wa ligi bila shaka zile goli8 tulizowapiga coastal msimu uliopita basi zingejirudia kwa hawa ndugu zetu. Ila sio mbaya sana hizo 5...
  4. anco

    JamiiForums Tanzania Heri ya siku ya kuzaliwa mzee Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete

    Sio jina moja tu, bali hayo yote aliyonayo ni ya kiislam. Mkuu naomba utambue hivi ni bora kuwa na muislamu mwenye jina la Joseph kuliko kuwa na mkiristo mwenye jina na matendo ya Yudaeskariyot
  5. anco

    JamiiForums Tanzania Heri ya siku ya kuzaliwa mzee Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete

    Jina la kiislam si mpaka ulizoee wewe mkuu. Hivi unajua kuna wakristo wanaitwa juma? Majina, matendo na dini ni vitu tofauti lakini vinashabihiana
  6. anco

    JamiiForums Tanzania GSM kutoa zawadi ya 10,mil kwa kila point 3 Yanga

    Timu inayoongoza kufunga magoli ya ajabu ajabu na ya bahati nasibu
  7. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Anza kumfanyia maandalizi mapema. Wazazi wengi hutamani hivyo lakini wanapofeli maandalizi kwa mtoto /watoto wao haya hujitokeza. Ewe mwenyezimungu naomba ukisikie kilio cha nafsi yangu. Amina
  8. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Ahsante. Nimekuelewa
  9. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Sina jibu kamili kuhusiana na hao walio ndani ya mahusiano juu ya usaidizi wao kwa wenziwao. Binafsi hilo kwangu halinisumbui.
  10. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Ahsante mkuu, hakika huu ni mwandiko uliotukuka.
  11. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Tayari
  12. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Ama kweli shetani hana jinsia
  13. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Nisaidie kuwaza
  14. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Mbona hii ni zaidi ya kilimanjaro
  15. anco

    JamiiForums Tanzania Mahususi kwako wewe mwenye kujielewa

    Wala hakutokuwa na tatizo lolote. Shida nahitaji kunasuka na maisha haya.
Back
Top Bottom