Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Habari wakuu,
Kabla sijaenda moja kwa moja kwenye swali langu naomba nijieleze nilivyo
Mimi binafsi sipendi kabisa kuhaibika huwa najiepusha sana na mambo ambayo yanaweza kumuaibisha mtu, kuongea hata vitendo
Imeafika steg hadi nikienda toilet nakagua mara nyingi kama choo kisafi baada kukitumia, kama nimeflash choo siondoki hadi nihakikishe mzigo umesafiri vizuri.
Hivyo hivyo hata kwenye kuvaa, kuongea, kutembea yani design kama sijiamini lakini yote yanafanya nisihaibike na nashukuru mimi kuhaibika kwenye mambo kama hayo ni very rare.
Sasa shida nilyokuwa nayo ukiacha kutojiamini ni kusikia aibu ya mwingine, kitu unaweza kufanya wewe lakini aibu naisikia mimi, muda mwingine naziba masikio au namkwepa huyo mtu nisisikie aibu... Sasa imekuwa kama ugonjwa kwangu kuna muda natamani kuishinda hiyo hali lakini naona kama mtihani mzito.
Sasa naomba mnisaidie je tatizo kuna mwingine linamsumbua, linasababishwa na nini, madhara yake, na tiba yake??
Asanteni
Kabla sijaenda moja kwa moja kwenye swali langu naomba nijieleze nilivyo
Mimi binafsi sipendi kabisa kuhaibika huwa najiepusha sana na mambo ambayo yanaweza kumuaibisha mtu, kuongea hata vitendo
Imeafika steg hadi nikienda toilet nakagua mara nyingi kama choo kisafi baada kukitumia, kama nimeflash choo siondoki hadi nihakikishe mzigo umesafiri vizuri.
Hivyo hivyo hata kwenye kuvaa, kuongea, kutembea yani design kama sijiamini lakini yote yanafanya nisihaibike na nashukuru mimi kuhaibika kwenye mambo kama hayo ni very rare.
Sasa shida nilyokuwa nayo ukiacha kutojiamini ni kusikia aibu ya mwingine, kitu unaweza kufanya wewe lakini aibu naisikia mimi, muda mwingine naziba masikio au namkwepa huyo mtu nisisikie aibu... Sasa imekuwa kama ugonjwa kwangu kuna muda natamani kuishinda hiyo hali lakini naona kama mtihani mzito.
Sasa naomba mnisaidie je tatizo kuna mwingine linamsumbua, linasababishwa na nini, madhara yake, na tiba yake??
Asanteni