Recent content by Analyse

  1. Analyse

    TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

    Alikuwa anatamani sana tukutane, ila ratiba zangu hazikuwahi kuwa easy. Kila akiwa Dar Mimi nakuwa mkoani mpaka nilipohama mazima Dar. Alinialika Arusha, ila sikuwahi pata route ya kule. Anyways, pumzika kwa amani dada Valentina.
  2. Analyse

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Nipo. Alive and kicking
  3. Analyse

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Inavyoonekana umekula sana wewe
  4. Analyse

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Nimepita kuchungulia leo, maana ni kitambo kimepita.
  5. Analyse

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Ndio umekula likabaki hivyo?
  6. Analyse

    Robin Sharma: Who Will Cry When you Die?

    Moja kati ya vitabu vyangu pendwa.
  7. Analyse

    Lissu alimshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana

    Muda wake Kama mwenyekiti ndio umeisha, ila yeye bado ni mwanachama wa CHADEMA hivyo anawajibu wa ushiriki kwa yanayoendelea. Chama ambacho amekiongoza kwa miaka mingi, leo viongozi waliokuwa nae bega kwa bega wanashikwa yeye kakaa kimya. Anashindwa hata kutweet?
  8. Analyse

    Lissu alimshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana

    Tatizo sio NRNE, tatizo ni kwamba anayeisimamia na kunipush sio mtu wao. Kipindi hii ajenda inanadiwa na Mbowe, wote ambao wamehama CHADEMA baada ya uchaguzi, nao walikuwa wanainadi. Hapo utaona shida sio hawataki ajenda, bali ni anayeinadi ndio hawamtaki.
  9. Analyse

    Lissu alimshinda Mbowe kwa asilimia ndogo sana

    Ni ngumu kumridhisha kila mtu. Huu mtifuano tunaouona sasa hivi, sidhani Kama unatokana na hizo sababu ulizozianisha peke yake. Baada ya uchaguzi, kambi zote zilikutanishwa Bagamoyo ili kufanya reconciliation. Ila pamoja na hayo yote, bado hawakuridhika. Nadhani huu mpasuko hautokani na Lissu...
  10. Analyse

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORM, NO ELECTION.
  11. Analyse

    China yatengeneza betri ndogo za nyuklia zenye ukubwa wa sarafu

    Mimi nitaendelea kutumia betri hizi hizi za kizamani. Hizo za nyuklia nitawaachia nyie. Nguvu za kiume zinatakiwa kulindwa kwa wivu mkubwa sana, siunajua mashangazi yanapenda shoo heavy.
  12. Analyse

    China yatengeneza betri ndogo za nyuklia zenye ukubwa wa sarafu

    Betri za nyuklia, alafu simu muda wote zipo kwenye mfuko wa suruali karibu na kiuno. Mbona kama wanatarget nguvu zetu za kiume na uwezo wa utungishaji mimba? How safe are they?
  13. Analyse

    Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

    Wengine watajadili kuhusu hayo madhara kama yapi, Mimi naomba kujua kitu kimoja. Hiyo bahati mbaya inakuwaje mpaka damu ya hedhi inaingia mdomoni?
  14. Analyse

    Dunia ya sasa inaelekea wapi? kwanini watu wanakufa sana?

    Vifo vimekuwepo miaka yote, tofauti ya zamani na sasa ni approach yako. Zamani labda kutokana na umri, haya mambo hukuwa ukiyapa uzito unaostahili. Ila sasa hivi unajihusisha na mambo mengi directly, mfano unafanya kazi, una vikundi vya kijamii nk kwahiyo circle yako wewe binafsi pia...
  15. Analyse

    Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    Pengine mkeo ana mashaka na mienendo yako, hivyo anafanya research. Hebu angalia hizo picha zote zimepigwa siku moja au zimepigwa kwa interval. Kama zimepigwa kwa interval, pengine anajaribu kuangalia kama kuna changes zozote zinazojitokeza.
Back
Top Bottom