Uyo mzee muongo sana, alisema anamiliki treni😁 pia alidai anafufua ila alipokufa mwanae sana wa chato alijikausha kwenye msiba kama hafufui vile sa leo utamuamini uyo?
Internally vera hana akili coz babe anayo nyash na watoto wanamuona mama yao anazo akili lakini mimi baba namjua demu wangu ni chengaaaa maci matupu kichwani
Yani ao ubongo upo mat**oni na ma¥i yapo kichwani, kadli nyashi inatikisika ndivyo akili inacheza. Shortly ukipata ujasiri wa kumface demu mwenye nyash tu na uko bright io imeishaaa
For sure anaweza, but apo kwenye tangu uanze kusikia hip hop ndo kuna ukakasi. Enewei labda kwa kizazi chako lakini pata muda wa kuwasikiliza watu kama akina baba malcom, P-the mc, one incredible na wengine naamini utajifunza jambo jipya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.