Recent content by amount

  1. amount

    JamiiForums Tanzania Ufunuo: Ninafadhaika Kuona kwamba Mtu mwingine anaenda kupotezwa

    Asije akawa yule jamaa wa leo sema mwamba naye anajua mamba atafuna halafu yeye anampa mkono tena mamba. Mamba atakutafuna tuu
  2. amount

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Wana strong state
  3. amount

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Wapumbavu hujisemea moyoni: Hakuna Mungu! Wote wamepotoka kabisa, Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu; Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
  4. amount

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Dk za jion inaeleza aliacha harakat pamoja na kuacha harakati wameruka naye hvyohvyoo
  5. amount

    JamiiForums Tanzania Tukiwa kwenye zinaa na starehe wanaume hatutaki mtuletee mamimba yenu. Huo ni ukatili kwa wanaume

    Mambo ni mengi ila wanawake wakiamua kuwa waaminifu tunapata jamii salama na na familia salama coz wao wana amua wabebe hyo mimba au waache
  6. amount

    JamiiForums Tanzania Je tunalakujitetea kuhusu utawala wetu ni wa kiraia au wa kijeshi ? Picha za maonyesho wengi ni raia au mitutu ?

    saiv mambo yalivyo either wananch walale police waandamane au wananch waandamane police walale inch ilipofikia.. inabid nch irud kwwenye default setting
  7. amount

    JamiiForums Tanzania Gawio la Bilioni 61 za NIDA: Mteja wa Mwisho ni Wewe! Taarifa zako Binafsi zinapogeuzwa kitegauchumi na Serikali

    Wangewekeza kwenye vifaa ili mambo yawe rahisi na haraka kwa uhakika zaidi
  8. amount

    JamiiForums Tanzania TBC wanilipe fidia ya Milioni 500

    Tbc
  9. amount

    JamiiForums Tanzania Kwa mambo yanavyoendelea, napata mashaka na kifo cha Hayati Magufuli

    Watu wako mbele ya muda
  10. amount

    JamiiForums Tanzania Unyama: Halmashauri ya Wilaya ya Kyela yatoza wakulima ushuru kwa gunia moja la mpunga tsh 2000/= hata kama hauuzi

    Kataeni uhuni huo fanyeni jambo muhuni ni muhuni tuuu always ni muhuni
  11. amount

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    in short utajili ni package kubwa pia ndani yake imesheheni mambo mengi .kutengeneza generational wealth ni rahisi HAPANA ila inawezekana NDIO
  12. amount

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    mkuu kuna jamaa kaweka pale ardhi university yeye malipo anafanya automatically kwa mitandaonya simu kama mpesa tigo pesa halafu inajiconnect hapo hapo… vp kwako wewe huo mfumo unaufahamu pia na je mfumo wako Una backup incase internet provider akafeli may be na vipi kuhusu vibari vya tcra...
  13. amount

    JamiiForums Tanzania Badilisha PC yako ya zamani kuwa Powerful MIKROTIK ROUTER

    Umeiva mkuu nakucheck pm
  14. amount

    JamiiForums Tanzania Nini kinachangia makampuni ya mabasi kufa, pindi waasisi wanapokufa au kuwaachia watoto?

    Kwa hood Inaelezwa madogo walimpiga chini aliyekuwa msimamizi na ndie aliyekuwa jiran na mzee kisa hakuwa mwanafamilia ila alilelewa na mzee wao nandio aliweza kuiendesha the rest madogo wakachemka kuiendesha baada wakata kumrudisha mwamba ikawa too late alikataaaa kurud maden yalikuwa mengi...
Back
Top Bottom