mkuu kuna jamaa kaweka pale ardhi university yeye malipo anafanya automatically kwa mitandaonya simu kama mpesa tigo pesa halafu inajiconnect hapo hapo… vp kwako wewe huo mfumo unaufahamu pia na je mfumo wako Una backup incase internet provider akafeli may be na vipi kuhusu vibari vya tcra...
Kwa hood Inaelezwa madogo walimpiga chini aliyekuwa msimamizi na ndie aliyekuwa jiran na mzee kisa hakuwa mwanafamilia ila alilelewa na mzee wao nandio aliweza kuiendesha the rest madogo wakachemka kuiendesha baada wakata kumrudisha mwamba ikawa too late alikataaaa kurud maden yalikuwa mengi...
Mbona kibishara wafanya biashara huwa wanasema kwa moro mzunguko hakuna utakuta mtu anasema ngoj nikafate Dar mwenyewe :
..kwasababu ni jiran .. makabila ya kibiashara yaliyo mengi moro waliparuka sasa sijui hii inaukwer mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.