Recent content by amount

  1. amount

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    mkuu kuna jamaa kaweka pale ardhi university yeye malipo anafanya automatically kwa mitandaonya simu kama mpesa tigo pesa halafu inajiconnect hapo hapo… vp kwako wewe huo mfumo unaufahamu pia na je mfumo wako Una backup incase internet provider akafeli may be na vipi kuhusu vibari vya tcra...
  2. amount

    Nini kinachangia makampuni ya mabasi kufa, pindi waasisi wanapokufa au kuwaachia watoto?

    Kwa hood Inaelezwa madogo walimpiga chini aliyekuwa msimamizi na ndie aliyekuwa jiran na mzee kisa hakuwa mwanafamilia ila alilelewa na mzee wao nandio aliweza kuiendesha the rest madogo wakachemka kuiendesha baada wakata kumrudisha mwamba ikawa too late alikataaaa kurud maden yalikuwa mengi...
  3. amount

    Kwa nilichokiona Morogoro, ni sahihi kusema serikali ya CCM inachelewesha maendeleo ya huu mkoa kwa makusudi kabisa!

    Mbona kibishara wafanya biashara huwa wanasema kwa moro mzunguko hakuna utakuta mtu anasema ngoj nikafate Dar mwenyewe : ..kwasababu ni jiran .. makabila ya kibiashara yaliyo mengi moro waliparuka sasa sijui hii inaukwer mkuu
  4. amount

    PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

    kwahyo bwana kihongosi leo anamsema warioba duuh nch ngumu sana
  5. amount

    Kwanini mpaka sasa Msigwa na TCRA hawajadhibiti habari za Wakatoliki feki kwa kigezo cha 'kubalance' na 'Kuzua Taharuki' Wala Polisi kuzuia maandamano

    hawez sema jambo hapo…Tukutane misa ya jumapili hii watajibiwa kwenye mahubiri ya misa zote inch nzima
  6. amount

    Tujadili pamoja: Kuna haja na faida tena ya kuwa na TISS nchini?

    Takukuru jwtz police uhamiaji tiss magereza the whole country is on total darkness bunge kote hukoni hakuna tena accountability .. kama hoa tiss wangekuwa kwer ni tiss mikataba ya kishenzi isngekuwepo kuchezea mali za umma kusingekuwepo yaani in-short ni shimon ndio tupo saiv
  7. amount

    Aliesema ya kuwa nguvu iliyotumika iliendana na tukio ni nani?

    Anatuonaje sijui mara ni ai mara watu kutoka nje mara kwanini mlishindwa kuwazuia vijana wenu mara vijana wanapigania nini.hapa ni mkono wa Mungu tuu ndio atamaliza hii kwa namna atakavyoona yeye na kwanjia gani .hawa watu watudharau kwa hali ya juu sana
  8. amount

    PostGE2025 Muda wa Samia kukaa Ikulu ulikwisha siku aliposema, ‘Kama hamkutaka Serikali tuwaue kwanini mliwaruhusu waingie barabarani?'

    Hapa nature itaamua tuu kwasababu vijana walipambana sana bila kujuaa the system of Tanzania iko kwaajili ya kuwalinda wachache yaani watawala na Vikos viko vya usalama viko kupigania maslahi ya watawala hikitu mkuu imeacha maumivu sana kwa wa Tanzania.kwa kilichotokea Vikos vya usalam...
  9. amount

    Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

    Yesu alikuwa akijibu Mafarisayo waliotaka awazuie wanafunzi wake wasimsifu lakini akawaambia kwamba hata wakinyamaza mawe yangepaza sauti.
  10. amount

    Dark days 17/03/20

    Surprise toka kwa mzee na watu wake au kutokea other side 🤔 maaana surprise ni nyingi now days
  11. amount

    Tumkumbushe Mwigulu majukumu ya Waziri Mkuu Kikatiba

    Halafu kuna hii kitu ya kuanza kubishana na mange hawa jamaa wanapanda kwenye majukwaaa na kuanza kujadili habar za mange seriously watu hawana maji .. our country is going to hell
  12. amount

    Vyombo vya habari kuweni makini. Msipokuwa makini hii mamlaka itawazika

    Tokea media zilivyo feli kusimamia weled October 29 sijawah zielewa kabisa na pia akaja semaji la serikali akasema wamefanya kaz nzuri nikaishiwa na pawa kabisa nikasema kama taifa tunasafari ndefu sana mwamba alivipongeza vyombo kabisa
Back
Top Bottom