mkuu kuna jamaa kaweka pale ardhi university yeye malipo anafanya automatically kwa mitandaonya simu kama mpesa tigo pesa halafu inajiconnect hapo hapo… vp kwako wewe huo mfumo unaufahamu pia na je mfumo wako Una backup incase internet provider akafeli may be na vipi kuhusu vibari vya tcra...
Kwa hood Inaelezwa madogo walimpiga chini aliyekuwa msimamizi na ndie aliyekuwa jiran na mzee kisa hakuwa mwanafamilia ila alilelewa na mzee wao nandio aliweza kuiendesha the rest madogo wakachemka kuiendesha baada wakata kumrudisha mwamba ikawa too late alikataaaa kurud maden yalikuwa mengi...
Mbona kibishara wafanya biashara huwa wanasema kwa moro mzunguko hakuna utakuta mtu anasema ngoj nikafate Dar mwenyewe :
..kwasababu ni jiran .. makabila ya kibiashara yaliyo mengi moro waliparuka sasa sijui hii inaukwer mkuu
Takukuru jwtz police uhamiaji tiss magereza the whole country is on total darkness bunge kote hukoni hakuna tena accountability .. kama hoa tiss wangekuwa kwer ni tiss mikataba ya kishenzi isngekuwepo kuchezea mali za umma kusingekuwepo yaani in-short ni shimon ndio tupo saiv
Anatuonaje sijui mara ni ai mara watu kutoka nje mara kwanini mlishindwa kuwazuia vijana wenu mara vijana wanapigania nini.hapa ni mkono wa Mungu tuu ndio atamaliza hii kwa namna atakavyoona yeye na kwanjia gani .hawa watu watudharau kwa hali ya juu sana
Hapa nature itaamua tuu kwasababu vijana walipambana sana bila kujuaa the system of Tanzania iko kwaajili ya kuwalinda wachache yaani watawala na Vikos viko vya usalama viko kupigania maslahi ya watawala hikitu mkuu imeacha maumivu sana kwa wa Tanzania.kwa kilichotokea Vikos vya usalam...
Halafu kuna hii kitu ya kuanza kubishana na mange hawa jamaa wanapanda kwenye majukwaaa na kuanza kujadili habar za mange seriously watu hawana maji .. our country is going to hell
Tokea media zilivyo feli kusimamia weled October 29 sijawah zielewa kabisa na pia akaja semaji la serikali akasema wamefanya kaz nzuri nikaishiwa na pawa kabisa nikasema kama taifa tunasafari ndefu sana mwamba alivipongeza vyombo kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.