Makonda wa happy nation wanasumbua Sana nimeitumia hii gari toka 2019 adi now yenyw ni nzr but wahundumu wake hawajali wateja .kam kunauwezekan wajilekebishe wanakera xanaaa.
Ninaupeo kidog wa elimu ya uchumi na wazo la Mhe. Nchemba ni la kitoto kibixa kwasababu mtu ukiweka vocha palepale unakatwa indirect tax na Leo hii unakuja na wazo la kunitoza Tsh 10 maana ake hapo ninalipa tax twice na kitu kingine watanzania wengi ni wapo maisha ya chini xana yaan mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.