Nashindwa kuelewa hii hali maana nikimuona mwanamke hasa Hawa wa Rika langu awe amevaa vizuri au vibaya mawazo yanaelekea huko.Mpaka mwili unatetemeka na napata kizungungu na moyo kwenda mbio.
Sasa jiroge ujidai wewe ndyo Baba Huruma umrejeshe kwenye maisha Yako huyo singo mama.Nafikiri umeona nyuzi za singo Maza wengi.
Jithamini pia ndugu yangu unanuaje gari lilitumika wakati mapya 0 km yapo.
Akipandisha sauti na wewe mjie juu.
Alafu mbona ulimkazania wakati alionesha majibu ya ovyo tangia muda kama "Utanioa nikishanunua gari"
Wanawake wengi humble wapo.
Kingine kwanini ulimchukua mwanamke mliyelingana umri???
Mkuu kama ni nyeto Hilo sio jambo la kuwaza hata kidogo.
Wenzako Kila siku tunaishi na maumivu makali ya mgongo nafuu tunapata tukilala tu tukiamka maumivu pale pale mchana kutwa.Hatuwezi kuegemea kiti Kwa muda mrefu sababu ya maumivu.
Hatuwezi kula sababu tumbo linajaa na kuuma na tunakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.