Ahsante mkuu kwa ushauri.
Umenena vyema sema issue kwangu ni pesa za kupatiwa matibabu.
Nimeshare humu kupata ushauri na ufumbuzi.
Kuna wadau wawili wamenichangia 35k hadi sasa, lengo niwe na 50k.
Mungu ni mwema taratibu nitatimiza lengo na kupona.
Chuki yote hii ya nini hata hatujuani?
Jamiiforums ina watu wema na wabaya.
Mpaka sasa wadau wawili wamenichangia wote jumla 35k
Ningekaa kimya na maradhi , ningepata wapi huo wema?
Au ulitaka usikie TANZIA alafu uandike R.I.P daah kwanini hakusema?
Mungu ni mwema, nitapona tu.
Nathibitisha kupokea muamala wa 20,000 ( muhusika simjui).
Huu ni muamala wa pili.
Jumla ni 35k
Lengo ni 50K
Imebaki 15k nikapate matibabu kamili.
Member uliyenitumia 20k pamoja na Grahams ninashukuru sana.
Ninathibitisha kupokea kiasi cha 15,000 kutoka kwa Mkuu wangu Grahams
Nashukuru sana.
Lengo nipate 50,000 ili nipate matibabu kamili ( kumuona daktari, vipimo & dawa).
Atakayeguswa nashukuru.
Namba yangu ni
0687374530
Mtandao: Airtel Money
Jina: Juma Ramadhan
Ahsante 🙏🏾
Mkuu Grahams shukrani sana.
Wakati napost tatizo langu sikufikiri kuna mtu angeweza kunipa msaada wa matibabu. Wewe umeni prove wrong. Mungu akubariki sana 🙏🏾
Ahsante sana Mkuu kwa salamu za pole lakini pia kuwa na empathy na hali yangu.
Nimeogopa kuweka namba post ya kwanza wasijeniita tapeli.
Kwakuwa umeonesha moyo wa kutaka kunisaidia ninawiwa kushare namba ili nipate matibabu
Kwaharaka, kumuona daktari, vipimo na dawa ( bila BIMA) nahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.