Recent content by Amon Lisa

  1. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Ahsante mkuu kwa ushauri. Umenena vyema sema issue kwangu ni pesa za kupatiwa matibabu. Nimeshare humu kupata ushauri na ufumbuzi. Kuna wadau wawili wamenichangia 35k hadi sasa, lengo niwe na 50k. Mungu ni mwema taratibu nitatimiza lengo na kupona.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Msaada nimepata Mkuu, japo lengo bado 15k nimalize changamoto. Huku ukiwa na tatizo la kweli na una ushahidi usife nalo mwenyewe.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Chuki yote hii ya nini hata hatujuani? Jamiiforums ina watu wema na wabaya. Mpaka sasa wadau wawili wamenichangia wote jumla 35k Ningekaa kimya na maradhi , ningepata wapi huo wema? Au ulitaka usikie TANZIA alafu uandike R.I.P daah kwanini hakusema? Mungu ni mwema, nitapona tu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Nathibitisha kupokea muamala wa 20,000 ( muhusika simjui). Huu ni muamala wa pili. Jumla ni 35k Lengo ni 50K Imebaki 15k nikapate matibabu kamili. Member uliyenitumia 20k pamoja na Grahams ninashukuru sana.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Hapana, sijapokea huo muamala.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Sijapokea Mkuu wangu
  7. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Hajatuma bado, huenda alikuwa ana test mitambo.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Sijapokea Muamala mkuu Ni ule tu wa Grahams Hapo ulikuwa unajaribu kutuma, bado hujathibitisha.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Ninathibitisha kupokea kiasi cha 15,000 kutoka kwa Mkuu wangu Grahams Nashukuru sana. Lengo nipate 50,000 ili nipate matibabu kamili ( kumuona daktari, vipimo & dawa). Atakayeguswa nashukuru. Namba yangu ni 0687374530 Mtandao: Airtel Money Jina: Juma Ramadhan Ahsante 🙏🏾
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Mkuu Grahams shukrani sana. Wakati napost tatizo langu sikufikiri kuna mtu angeweza kunipa msaada wa matibabu. Wewe umeni prove wrong. Mungu akubariki sana 🙏🏾
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Mkuu, ahsante kwa ushauri. Natamani kufanya hivyo isipokuwa hali yangu kiuchumi hairuhusu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Ahsante sana Mkuu kwa salamu za pole lakini pia kuwa na empathy na hali yangu. Nimeogopa kuweka namba post ya kwanza wasijeniita tapeli. Kwakuwa umeonesha moyo wa kutaka kunisaidia ninawiwa kushare namba ili nipate matibabu Kwaharaka, kumuona daktari, vipimo na dawa ( bila BIMA) nahitaji...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Shukrani kwa ushauri
  14. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Mkuu wangu sina uwezo kwasasa kumuona daktari, vipimo na dawa
  15. A

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Ahsante mkuu kwa ushauri. kwasasa changamoto ni hiyo gharama ya kumuona daktari, vipimo na dawa ni mtihani kwangu
Back
Top Bottom