Kwa mjibu wa Nec kila mgombea/chama ana haki ya kuweka wakala wake kuanzia ngazi ya kituo cha kupigia kura,kuhesabu kura na kutangaza matokeo kwa ngazi ya kituo,kata na jimboni tu.
Lakini ni kosa la jinai kwa ngazi ya taifa kwa wakala wa chama/mgombea kushuhudia matokeo yake toka majimboni...
wakati wa kuwajua waandishi wasakatonge/wachumia tumbo ni sasa
Wakati wa kuwajua waandishi wa habari makanjanja ni sasa
Wakati wa kuwajua wahariri wanaosigina taalauma ya habari ni sasa.
TCRA wako wapi?
Moat vipi ?
nk
Mamlaka halali ya kumtangaza mshindi kwa ngazi ya uraisi ni tume baaaada ya kupokea matokeo toka majimboni
Mamlaka halali ya kumtangaza mbunge ni mkurugenzi wa manispaa/halimashauri baada ya kujumlisha matokeo toka kata
MAMLAKA YA KUMTANGAZA DIWANI NI MTENDANI WA KATA BAADA YA KUJUMLISHA KURA...
Ushauri kwa tume ya taifa ya uchaguzi chonde chonde:
TUNAAMINISHWA KUWA TUME YENU NI HURU na Wengi wenu kama sio wote yaani Mwenyekiti, Mkurugenzi na makamishina wa tume tunaamini wote ni wanasheria weledi.
Ili haki itendeke ni budi ionekane kuwa imetendeka. Wakati wa kupokea matokeo toka...
Salutation
Legwanan alisha sema hana msamiati wa kushindwa.
Plan B iko jikoni ikiwa tayari utaijua.
Tueleze the next side when they collapsed in this presidential election what will be there next plan?
Mleta uzi kwa upeo wako mkubwa mada yako ina faida gani humu?
BADALA ya kuleta hoja za maana una leta hoja za kuwajadili watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tena hoja ya huyu ni kabila gani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Karne ya 21 ukabila kwako ni issue!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwalimu...
Usihukumu kabla hujahukumiwa
Hizi nituhuma
Chombo pekee nchini cha kumtia mtu hatiani ni mahakama tu.
Escrow,Epa,Kagoda,Meremeta,Nyumba za serikali,IPTL n.k ni EL?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.