Habari za mida wadau.
Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc.
Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei.
Asante.
Habari za mida wadau.
Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc.
Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.