Recent content by Aminikweli

  1. A

    Meza nzuri ya dinning inauzwa

    Nauza meza ya dinning ya watu 8, ni Mbao ya Mninga na Mtiki. Ipo Dar. 2Mil Tzs. Maelewano yapo
  2. A

    Gharama za kuchimba kisima cha maji baridi

    Asante wadau. Mrangi ngoja nimcheki huyu Tawa driller.
  3. A

    Gharama za kuchimba kisima cha maji baridi

    Habari za mida wadau. Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc. Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei. Asante.
  4. A

    Gharama za kuchimba kisima cha maji baridi

    Habari za mida wadau. Natafuta mtu au kampuni itakayoweza kunichimbia kisima cha maji yasiyo na chumvi kwenye shamba langu km 7 kabla ya kufika Bagamoyo mjini kwa bei nzuri ikiwemo installation ya pipes etc. Mwenye ujuzi na mambo haya tafadhali anijuze makadirio ya bei. Asante.
  5. A

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane hapa

    Asante sana kwa elimu hii uliyotupatia. Mungu azidi kukubariki. :clap2::clap2::clap2:
Back
Top Bottom