Recent content by Amina Thomas

  1. Amina Thomas

    Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

    Hata mimi kutoka mwenge kwenye mataa mpaka mazinde st. Mikocheni nililipa 1000
  2. Amina Thomas

    Samsung Not Registering on Network

    Kwa sisi tusiojua hiyo mbinu? (Writting new cert?)
  3. Amina Thomas

    Samsung Not Registering on Network

    Jamani na mimi yangu inasoma halotel tu. Sipokei wala sipigi ila unternet inafanya kazi. Ni samsumg a5
  4. Amina Thomas

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Ni nzuri sana. Hongera nyingi kwako. Jitahidi utuwekee na local channels. Shukran
  5. Amina Thomas

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    hizo tabia ulizotaja karibu zote zinanigusa. ila nilichapwa sana nikiwa darasa la 5. mwalimu alikua hanielewi jinsi navyolaza daftari upside down ndio naandika. na nikiwa form 2 wakati wa kushona handles za cherehani ziko kulia basi ilikua tabu tupu.
  6. Amina Thomas

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    mashoto tupo wengi na tunajivunia kua hivyo japo mwanzoni tulinyanyasika sana
  7. Amina Thomas

    Kwa wale wa zamani wanaomkumbuka mzee Majambo muuza karanga

    Duu. mzee majambo alikua anatembea karibu mji mzima. utamkuta magomeni, mara msasani, kwa miguu. watoto vikojozi walikua wanamuogopa sana
  8. Amina Thomas

    Nani anamkumbuka Mzee Majambo?

    duu! umenikumbusha mbali sana! alikua kiboko ya vikojozi
  9. Amina Thomas

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    asante sana mkuu kwa utetzi. hata kama ningekua nauza mkaa sio sababu ya kunidharau.
  10. Amina Thomas

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    asante sana nitafuatilia hayo yote kwa maana nimejifunza kua mafundi ukiwaendea kichwa kichwa wanakuliza sana kwenye spea
  11. Amina Thomas

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Naomba mwenye kujua sababu ya gari aina ya bmw series e 381i kutetemeka usukani ninapofikia speed 80. tafadhali nisaidieni maana inabido niende spidi mwisho 70 wakati gari ina 245. haina tatizo lolote lingine. naomba ushauri hapa baada ya mafundi kuongea vitu vingi tofauti. wengine wanasema...
  12. Amina Thomas

    BMW 3 series Touring (wagon)

    rugambwayt, Spea zipo shauri moyo, na hata mwenge ila bei sio kama toyota. enjoy the speed maana ikiwa barabarani inatulia kama maji! ni ngumu na imara.
  13. Amina Thomas

    Namna ya kudownload apps buree katika smartphone na adroid

    Kwa njia ya mkato download "blackmart alpha", search application unayoitaka kisha download. simple!
Back
Top Bottom