Napost nikiwe ujerumani sahii.. 😅😅😅 guys huwa sipost sana humu, kipindi cha COVID niliwahi post kitu, kesho yake nikakuta kunamtu alijaribu ku login to my email nikafanya back tracking nikakuta anatokea pale Dodoma ikipo library ya Dodoma named viwandani.. so tusijipe asilimia 100% kwamba we...
Wakuu elimu Zanzibar bado ni ndogo sana.. acha waongezewe motisha ya siku nimeenda duration mzee nimenunua vitu vya 6k chenxhi ya kunipa katumia calculator.. sitanii wakeup, angalia hata NECTA Zanzibar wazazi wengi swala la elimu Dunia wanalipuuza sana
Mahakama haikosei upelelezi wa muaka 9 di nchezo.. wasije wakawa wanahusika na matukio ya kibiti, kuna mahistadhi wa wawili walinifundisha karate sahivi siwaoni pia mwanzo niliambiwa na wa kwanza kuwa mwenzie kaenda SA sahivi nalie niambia kupindi cha mzoozi wa kibiti alipotea pia
Nduo maana nikasema "kama sikosei.." nikimaaniisha sina uhakika kwa kifupi ulichosema ni uongo.. mpaka muda huu hakuna teknolojia ya kwenda mwezini so unachokisema hapa nitu cha kufikirika tu
Badala ya kusema sasa ungesema baadae, maana mpaka sasa hakuna teknolojia ya kwenda Mwezini.
Hata ile safari waliyotangaza Marekani kuwa walienda mwezini miaka ya 80 kama sikosei imekuwa na mashaka maana wanadai teknolojia ilipotea.. how come mpaka sasa ni miongo kariba minne still wanasayansi...
Tunakiwanda kinatengeneza nguo tunauza Marekani, lakini sidhani kama sisi tumeathiriwa kwasababu mkataba unatubhana kuuza hizo nguo hapa ndani.. hizo nguo Marekani ni gharama sana kutokana na kuwa na ubora wa hali ya juu.
😅😅😅.. mleta mada kadanganya sana kilichoandikwa na anachosema nitofauti kabisa, ni kama alisimuliwa hivi alafu hakusoma hiyo report, by the way.
Uwezekno wa Aliens kuwepo upo.. lakini cha kujiuliza hao Allen's hawapajui Afrika?? Maana case >tell ni N.A, S.A na huko Urusi😅
Au huku ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.