Recent content by Amigo king

  1. Amigo king

    Math Tricks: Leo Nataka Kusoma Mawazo Yako

    ...sikua na mahusiano mazuri na somo LA hesabu nasubiri majibu yenu
  2. Amigo king

    Polisi waagizwa kuwakamata wanaofunga ving’ora na vimulimuli kwenye magari

    Write your reply...unakuta mtu kafunga kwenye ka Vitz kake halafu fresh tu maisha yanaenda.
  3. Amigo king

    Kwanini wanaohama CHADEMA kipindi hiki hawataki kwenda ACT-Wazalendo?

    .. Makubaliano ya mkataba kati ya mnunuzi na mnunuliwa
  4. Amigo king

    Hivi Serikali hii ya Awamu ya 5 imeshindwa kweli kumshika na kumshtaki mtu anayeitwa Kigogo2014?

    Write your reply...kigogo ni mwanaharakati NA mtaalam wa mambo ya IT aliyewashinda wanausalama wa ndani na nje ya nchi. ukiwa NA swali jingine uliza
  5. Amigo king

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Write your reply...mkuu Chizi Maarifa usitafute umaarufu kwa kumpinga jamaa,shusha nondo za maana tutakukubali na utakuwa maarufu na utaipiga hela, acha majungu Fanya kilicho bora umaarufu utakufuata.
  6. Amigo king

    Shikamoo wewe kipofu uliyeniibia pikipiki na ukaiendesha

    Nimecheka kinoma, pole kama ni kweli yalikupata
  7. Amigo king

    Nimefika Sumbawanga, nakutaadharisha wewe dada ulieniibia CRDB Chanika

    Write your reply...usisahau kuchukua namba ya babu itatufaa sana wakati mwingine
  8. Amigo king

    Spika Ndugai: Wabunge waliotoroka wana madeni makubwa na ya ujanja ujanja hivyo atawakabidhi Serikalini wachukuliwe hatua

    Write your reply...kila siku anatuambia madeni ya wapinzani kwa akili zake ndogo anaona hiyo ni point ya kuwaambia watu wenye akili timamu. takataka kabisa
  9. Amigo king

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Write your reply...Dah mkuu haichoshi hata kidogo ukiisoma huwezi hata kupepesa macho
Back
Top Bottom