Kwanini wanaohama CHADEMA kipindi hiki hawataki kwenda ACT-Wazalendo?

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Waungwana salaam!

Kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahamaji kutoka chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha CHADEMA. Wahamaji hawa wengi wao wao wamekuwa wakienda ama CCM au NCCR-Mageuzi.

Kwa Tanzania mojawapo ya vyama vinavyokuwa kwa kasi ni ACT wazalendo lakini cha kushangaza wahamaji wengi kutoka chadema hawataki kwenda kwenye chama hiki hivi karibuni. Kulikoni?
 
Waungwana salaam!

Kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahamaji kutoka chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha CHADEMA. Wahamaji hawa wengi wao wao wamekuwa wakienda ama ccm au NCCR-Mageuzi. Kwa Tanzania mojawapo ya vyama vinavyokuwa kwa kasi ni ACT wazalendo lakini cha kushangaza wahamaji wengi kutoka chadema hawataki kwenda kwenye chama hiki hivi karibuni kulikoni?
Hakinunui watu, vyama vinavyonunua watu ni CCM na NCCR tu.
 
ACT ndio ilikuwa inakwenda kuwa kitisho kwa watawala baada ya uchaguzi mkuu ujao. Hii hamahama kwenda NCCR naiona kama mkakati kupunguza nguvu ya ACT.
 
Hawahami Bali wanahamishwa kama mpango-mkakati wa kuiua CHADEMA tena hawahamishwi burebure ni kwa donge nono na ndiyo maana bajeti nyingi za hii nchi hazitekelezeki kwani sehemu kubwa ya bajeti huelekezwa katika kuwanunua wachumia tumbo waliopigika na njaa Huku opposition
 
Waungwana salaam!

Kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahamaji kutoka chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha CHADEMA. Wahamaji hawa wengi wao wao wamekuwa wakienda ama CCM au NCCR-Mageuzi.

Kwa Tanzania mojawapo ya vyama vinavyokuwa kwa kasi ni ACT wazalendo lakini cha kushangaza wahamaji wengi kutoka chadema hawataki kwenda kwenye chama hiki hivi karibuni. Kulikoni?
Maelekezo toka juu waende NCCR
 
Uruke mkojo ukanyage Kinyesi? Kwenye Siasa angalia upande wenye Faida na nafasi ya kufanya Siasa bila bughudha.
NCCR chini ya Mbatia imeimarika
 
Kama vile ulikuwa kwenye akili zangu mkuu, nilianzishaga uzi kma huu mwezi mmoja, nashangaa mods wakaufuta, sikujua tatizo lake, ila ni swali zuri...
 
Back
Top Bottom