Watanzania si waoga.
Iwekwe wazi kwamba 90% ya Watanzania wenye akili na magenius hawapingani na CCM.
Wengine ni wadau wa CCM.
Siku hii nchi ikitoka mikono ya CCM ndio mtaelewa nimechokimaanisha
Hii JF mbona inawatu wahovyo sana.
Mijitu imesoma highlighted heading then ina comment tu.
Soma quotation ya chini
"Dr Samia Suluhu Hasani katimiza mambo makubwa ambayo Baba wataifa aliyataman but hakuweza kuyatimiza"
Hapo kunashida gani ?
Mambo haya yana apply kila siku kwenye maisha yetu...
Wapo idadi yao inaweza fika elfu 17 hivi.
Kazi kubwa walionayo sasa nikukaa mitandaoni wakisubiri millard ayo apost waka comment,
JF mtu aandae uzi wake safi wavuruge huku wakisubiri hadithi za mwendomwendo na Mrs kimambi ili waje watusimulie.
Nyie mmesoma soma history hivi dola gani ilipinduliwa kwa watu kukaa tu na kusubiri Mungu ?.
Au tunataka kutengeneze history mpya.
Mimi naona hizi hbr za Mungu Mungu ni uvivu tu wakufkiria.
Kama Gwajima nae kaja na habari za Mungu Mungu na Samia na Chalamila nao jana siwalikuja na hizo hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.