Unajua sababu ambazo huwa zinafanya Contradictions ziwepo ?
Sio kila jambo lina Contradictions, mfano la hili la uwepo wa Mungu. Bali ni ujinga wenu na matamanio yenu ya nafsi, ndio maaa si ajabu kuwaona mnabisha jambo na hamna hoja wala ithibati.
Wewe unajua au unaamini ya kuwa imekwaje Ulimwengu ukawepo ?
Shids tamko Imani mnalichukulia katika muono finyu wa kustaajabisha. Imani kuna wakati hutanguliwa na kujua yaani kuwa na elimu ya yakini kabisa isiyo kuwa na shaka.
Sasa wewe mbona unashindwa kutupa ushahidi na uthibitisho ya kuwa...
Sasa angeepusha vipi wakati yeye ndio ametaka viwe na vitokee na kama angeamua visiwe visinge kuwa.
Shida hutoi hoja za uhalisia zaidi ya falsafa ya kama mara ingekuwa mara vile.
Yaani unaleta Falsafa katika uhalisia.
Ishara na dalili za uwepo wake ziko nyingi na ziko wazi sana.
Ushawahi kujiuliza katika umbile lako, kwanini jasho lina chumvi chumvi, au ute wa sikioni ni mchungu na mate ni kama hayana ladha ?
Angalia uwepo wa ulimwengu na vilivyomo, jinsi vilivyo pangwa na kupangika ? Hamtumii akili na moyo...
Wewe kwanini unahangaika kukana kituambacho hukijui ?
Mola hafanyi mambo yake kama unavyo taka wewe, ndio maana kila kitu kinaenda kama alivyo panga yeye, sababu yeye ni mwenye nguvu mwenye kujua.
Tunaongea kwa niaba yake sababu yeye ametaka iwe hivyo, na huo ndio utaratibu wake, wala...
Tatizo maswali yenu mnayajenga kwenye dhana na majibu mepesi ambayo muhusika hujafikiria uhalisia wa unachokiuliza.
Matumizi ya "..nge.." kwa maana ya "Angekuwepo ..." au kadha wa kadha ni dhana ambayo haina uhalisia.
Kusingehitajia vipi ? Umejuaje kama asingekuwepo kungekuwa na maswali haya ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.