Dawasco tumeni bill inayoonyesha matumizi halali.Mita INA faida gani kama mwakisia mkiwa ofisini.halafu bila soni mwatuma huyo bill fake tarehe tano ya mwezi husika. Maana yake nini.?
Ngono iliwekwa na mungu kwa madhimuni ya kuongeza viumbe hapa duniani.kazi ya uumbaji wa wa mungu pekee hana msaidizi. Hivyo waliopewa hukumu hili la Mingu mtakatifu budi walifanye kitakatifu kwa utaratibu alioukubali.
Kweli makufuli ana udhaifu mkubwa wa kuamua nini kisemwe wapi na lini. Vijembe vitamuumbua siku moja. Lo! Awaachie vijembe kina mama wa mitaani sio kutoka kwa rais.
Kuingia bunge chini ya mwovuli wa Viti maaalum lazima uwe na jinsia ya kike.pili uwe mwanachama ya chama kilicho na wabunge waliochakuliwa toka majimboni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.