Habari wana JF,
Ninasoma bachelor degree ya education (Physics na Chemistry) but baada ya kugraduate nataka nikasome masters of business administration. Nina maswali kadha nitashukuru nikijibiwa.
1. Kwa sababu nimesoma pure science ninaweza kumanage kusoma hiyo masters bila shida.
2. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.